Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao
Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.
Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aQe6gJyu-co/Xm3DhK7kN0I/AAAAAAALjtU/yLV8NsLgUDY3kvG0dNYHf8oxEArcWNbGACLcBGAsYHQ/s72-c/5ea89720-16c0-4695-b7ce-6eb34b67a3d0.jpg)
SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA UWEKEZAJI KATIKA KUENDELEZA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Peter Serukamba wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela...
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
‘Serikali isambaze teknolojia ya usindikaji mazao’
SERIKALI imetakiwa kushirikiana na wadau katika kusambaza teknolojia ya usindikaji wa mazao ya kilimo kwa wananchi na kuboresha miundombinu na upatikanaji wa vifaa na zana za kisasa kwa ajili ya kazi hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Andreas Whero, aliyasema hayo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku tano kwa wajasiriamali juu ya teknolojia ya usindikaji mazao ya matunda, vinywaji na vyakula.
Whero alisema wakati huu ambapo kuna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Nafasi ya teknolojia ya kidijitali katika kuendeleza uchumi wa Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-NHLzfrV2WBA/XuU8WuqVb9I/AAAAAAALtvA/kFPzPy05RrAT1sFtzaU2xdjz5bo3u4s8QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.41.35%2BPM.jpeg)
Kwa mujibu wa GSMA (Shirika la Kimataifa la Makampuni ya Simu), mpaka mwisho wa mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi katika eneo hili ilikuwa imeongezeka kwa milioni 20, ukilinganisha na mwaka uliotangulia (2017). Makadirio yanaonesha kwamba idadi hiyo itaongezeka kwa watumiaji wapya milioni 167 kufikia mwaka 2025.
Hapa Tanzania,...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Tanzania inajipanga kutumia teknolojia ya GMO katika kilimo
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
Habarileo19 Dec
JK: Serikali itawekeza katika sayansi, teknolojia
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali yake imedhamiria kwa dhati kuwekeza katika masomo ya sayansi na teknolojia, kwani hiyo ndio siri kubwa ya maendeleo ya nchi.
5 years ago
MichuziWADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI
Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...