‘Serikali isambaze teknolojia ya usindikaji mazao’
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI imetakiwa kushirikiana na wadau katika kusambaza teknolojia ya usindikaji wa mazao ya kilimo kwa wananchi na kuboresha miundombinu na upatikanaji wa vifaa na zana za kisasa kwa ajili ya kazi hiyo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Andreas Whero, aliyasema hayo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku tano kwa wajasiriamali juu ya teknolojia ya usindikaji mazao ya matunda, vinywaji na vyakula.
Whero alisema wakati huu ambapo kuna...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao
Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.
Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yasisitiza katika uzalishaji,ukusanyaji na usindikaji wa Maziwa
Msemaji wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Mohamed Bahari akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) walipotembelea kiwanda cha uzalishaji wa maziwa kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam ambapo Serikali inasisitiza watanzania kuwekeza katika sekta ya ufugaji na uzalishaji wa maziwa ili kukuza uchumi.
Mkurugenzi wa kiwanda cha Maziwa cha MilkCom Dairies Ltd Yusuph Said akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu bidhaa zinazozalishwa kiwandani hapo wakati...
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Agra yazindua teknolojia mpya ya uhifadhi mazao
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Serikali kutonunua mazao yote
SERIKALI imesema haina mpango wa kununua mazao yote yanayozalishwa na wakulima, bali wanaweza kutafuta masoko yao wenyewe. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika,...
11 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaombwa kuanzisha mradi wa kuchakata mazao
SERIKALI imetakiwa kuanzisha mradi wa mfano wa kuchakata mazao ya kilimo na hasa matunda katika ngazi ya mikoa. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Taasisi ya Tan Tanzania, Deusdedit Kizito wakati wa kuzungumzia fursa za mazao ya kilimo katika soko la dunia baada ya kuhudhuria maonesho ya bidhaa za Kilimo hai ya BioFach ya Ujerumani na mboga ya Berlin.
5 years ago
MichuziSERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza wenyewe ilihali serikali ikisalia kama msimamizi.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb)...
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...