Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waaswa kuinua uchumi wa nchi

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vya elimu ya juu mkoani Dodoma kutumiafursa waliyonayo kuisaidia nchi kusonga mbele na kufikia uchumi wa juu zaidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Huduma jumuishi za kifedha kuinua uchumi

HIVI karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kushirikiana na wadau wa sekta binafsi na umma, walizindua Mpango wa Taifa wa Huduma Jumuishi za Kifedha, lengo likiwa ni kuboresha ustawi...

 

10 years ago

Habarileo

'Viongozi muwe wabunifu kuinua uchumi'

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa mkoa wa Morogoro kuwa wabunifu katika kutafuta majawabu ya msingi yatakayowasaidia wananchi kuinua uchumi wao kupitia nyanja za kilimo, ufugaji na biashara ili kukuza vipato vyao na waondokane na umasikini.

 

10 years ago

Mwananchi

Chai ina fursa za kuinua uchumi

 Tanzania inaweza kuongeza uzalishaji wa zao la chai na kuliingizia Taifa fedha za kigeni kama nchi nyingine za Kiafrika, iwapo Serikali itaweka mazingira mazuri kwa kutumia fursa zilizopo.

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mwandosya aja na mambo 10 kuinua uchumi

>Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya jana alitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  na kusema kesho atachukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi

URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sanaa kuinua uchumi Nigeria, Tanzania tunalo la kujifunza

HIVI karibuni dunia imeshuhudia na kushtushwa na namna ambavyo taifa la Nigeria limekua kiuchumi barani Afrika na kufanikiwa kuipiku Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa katika takwimu mpya zilizotolewa za kupandisha pato...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaombwa kuwaingiza wafugaji kwenye bajeti ili kuinua uchumi wa taifa

Chama cha Wafugaji Kanda ya Ziwa kimeitaka Serikali kuwatambua kuwa nao ni miongoni mwa Sekta muhimu inayoweza kuinua uchumi wa nchi na wananchi wake kwa kulipa mapato na kutaka kuingizwa katika bajeti ya walipa kodi.

Wafugaji wamesema Tanzania ni nchi ya tatu barani Afrika kwa wingi wa mifugo ya asili lakini wengi wao wanaishi katika hali duni na hata serikali imeshindwa kupata kikamilifu matunda ya kuwepo kwa rasilimali hiyo.

 Hayo wameyasema katika Mkutano wao na Waziri wa Kilimo,Mifugo...

 

5 years ago

Michuzi

SILIMA ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS , ASEMA AMEKUJA KUINUA UCHUMI WA WAZANZIBAR WOTE

Na Mwandishi Wetu Zanzibar.
JOTO la la nani atakayepewa kijiti kukiokongoza Zanzibar katika kinyang’anyiro cha urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) limeendelea kupanda baada ya Kada nguli wa chama hizo Pereira Ame Silima kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Silima licha ya kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya Serikali ya Zanzibar ikiwemo Katibu Mkuu wa Wizara za Biashara Masoko na Utalii, Kilimo, Mifugo na Maliasili tangu Machi 2017 hadi sasa amekuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

 

10 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAASWA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NDANI YA NCHI

KAIMU MENEJA WA SIDO MKOA WA IRINGA, MR NIKO MAHINYA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI OFINI KWAKE

NA FRANK KIBIKI, IRINGA



SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limewataka watanzania kujenga utamaduni wa kupenda bidhaa zinazotengenezwa ndani, badala ya zile zinazoingizwa kutoka nje ili kukuza uchumi wan chi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema ikiwa watanzania wataenzi bidhaa zinazotengenezwa ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani