Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chai ina fursa za kuinua uchumi

 Tanzania inaweza kuongeza uzalishaji wa zao la chai na kuliingizia Taifa fedha za kigeni kama nchi nyingine za Kiafrika, iwapo Serikali itaweka mazingira mazuri kwa kutumia fursa zilizopo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waaswa kuinua uchumi wa nchi

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Dk Rehema Nchimbi amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vya elimu ya juu mkoani Dodoma kutumiafursa waliyonayo kuisaidia nchi kusonga mbele na kufikia uchumi wa juu zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

'Viongozi muwe wabunifu kuinua uchumi'

RAIS Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa mkoa wa Morogoro kuwa wabunifu katika kutafuta majawabu ya msingi yatakayowasaidia wananchi kuinua uchumi wao kupitia nyanja za kilimo, ufugaji na biashara ili kukuza vipato vyao na waondokane na umasikini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huduma jumuishi za kifedha kuinua uchumi

HIVI karibuni Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kushirikiana na wadau wa sekta binafsi na umma, walizindua Mpango wa Taifa wa Huduma Jumuishi za Kifedha, lengo likiwa ni kuboresha ustawi...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL FURSA YAENDELA KUINUA VIJANA HAPA NCHINI

 Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kulia),akimkabidhi kijana Iddy Abdallah Chilumba, msaada wa mashine yakubangulia korosho vikiwemo meza, vifaa mbalimbali na pikipiki mpya,kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, katika haflailiyofanyika kwenye sehemu yake ya biashara iliyokarabatiwa na Airtelkatika Mtaa wa Relwe, Manispaa ya Mtwara jana. Wanaoshuhudia ni Meneja wa Airtel Mtwara, Bartholomew Masatu (wa pili kushoto), Meneja wa Huduma kwa Wateja wa Airtel, Happy John...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mwandosya aja na mambo 10 kuinua uchumi

>Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya jana alitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  na kusema kesho atachukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi

URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sanaa kuinua uchumi Nigeria, Tanzania tunalo la kujifunza

HIVI karibuni dunia imeshuhudia na kushtushwa na namna ambavyo taifa la Nigeria limekua kiuchumi barani Afrika na kufanikiwa kuipiku Afrika Kusini. Hayo yamebainishwa katika takwimu mpya zilizotolewa za kupandisha pato...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bagamoyo ina fursa nyingi za uwekezaji — Nagu

MJI wa Bagamoyo umetajwa kuwa ni moja ya maeneo yenye fursa nyingi za  uwekezaji na zinavutia wawekezaji kuwekeza katika sekta mbalimbali ambazo zikitumika ipasavyo zitasaidia mji huo kupiga hatua za...

 

9 years ago

Dewji Blog

SMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua maendeleo visiwani humo

IMG_9022

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe za kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Shangani Mjini Zanzibar mwishoni mwa wiki.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

SERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani