WATANZANIA WAASWA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NDANI YA NCHI
KAIMU MENEJA WA SIDO MKOA WA IRINGA, MR NIKO MAHINYA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI OFINI KWAKE
NA FRANK KIBIKI, IRINGA
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limewataka watanzania kujenga utamaduni wa kupenda bidhaa zinazotengenezwa ndani, badala ya zile zinazoingizwa kutoka nje ili kukuza uchumi wan chi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema ikiwa watanzania wataenzi bidhaa zinazotengenezwa ndani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AWATAKA WATANZANIA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA JESHI HILO
Watanzania wametakiwa kuthamini na kutumia bidhaa zinazozalishwa na Jeshi la Magereza hapa nchini zikiwemo Samani za ndani na Ofisi.
Mwito huo umetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja wakati akiongea na Waandishi wa Habari mara tu baada ya kutanganzwa rasmi Jeshi la Magereza kuwa Mshindi wa kwanza kwa upande wa utengenezaji wa bidhaa za Samani za ndani katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika uwanja wa Mwalimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo (TBS) kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa ndani na nje ya nchi zinakidhi kiwango husika
![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s640/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_7_-d-Uav3E/Xr6E4G9b7oI/AAAAAAALqVE/ZdM6LFA9sZUeBijkunpG7J3l7j9LvJUdQCLcBGAsYHQ/s640/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TIYAlydse6I/Xuy0mDPlJ0I/AAAAAAALumg/z1sap-rSAj43qdzDOm_LMXs8PdwqI3VuQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B3.26.59%2BPM.jpeg)
NAIBU WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUUNGA MKONO BIDHAA ZINAZOZALISHWA NA VIJANA
Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Jijini Mwanza alipotembelea Kiwanda cha Vijana cha Soma bags cha mabegi ya wanafunzi ambacho kimepewa mkopo wa Tsh 30,000,000 kupitia Mfuko wa maendeleo ya Vijana-YDF.
"Mkopo mlioupata mmeutumia vyema na kuongeza uzalishaji kwa kiwango kikubwa,ninyi mnatuma...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Bidhaa za ndani zinaweza kukuza uchumi wa nchi
KUKUZA fursa za mitaji ni miongoni mwa dhana zilizojengeka midomoni mwa walio wengi huku wakiita ni dhana ya kijasiriamali. Kila mmoja aliyeweza kukuza mitaji kwa njia yoyote ile, hujiita mjasiriamali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LeiXwld-phc/U_YU351mhgI/AAAAAAAGBM4/571j1gbbD8E/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
10 years ago
Michuzi02 Jun
WATANZANA WAASWA KUTUNZA NA KUTHAMINI MAZINGIRA
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/002.jpg)
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/001.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3w2-GazWNNg/Xr6E4SZTqEI/AAAAAAALqVI/L-l03HrdH5IDP6Kxp6_pfa1YTHjjWkyZgCLcBGAsYHQ/s72-c/aac870a6-c337-4efe-980e-c510f24e7ee3%2B%25281%2529.jpg)
Kitengo cha uhandisi Mitambo kuhakikisha viwango vya bidhaa zinazalishwa ndani na nje ya nchi
*Miradi ya Ujenzi mbalimbali wa Serikali unatumia bidhaa za Viwanda vya ndani kutokana Viwango kufikiwa
Na Ripota wetu-Michuzi TV.
Kitengo Cha Uhandisi wa Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kimesema kuwa Nondo, Bati na Misumari na bidhaa zingine za kiuhandisi zimekuwa na viwango na kukubalika katika Kanda mbalimbali
Akizungumza na michuzi Tv Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa TBS Joseph Mwaipaja amesema kuwa tangu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-USsI6xBR_20/VYvzIqUE-sI/AAAAAAAHj7g/PpMGlgdQ2Pc/s72-c/IMG_2871.jpg)
MJENGWA KUUNGANISHA WATANZANIA WAISHIO NJE NA NDANI YA NCHI
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini , Dar es Salaam, Mratibu wa Watu Waishio Ughaibuni (Diaspora),Maggid Mjengwa amesema kutokana na kutambua uwepo watu milioni mbili wako nje nchi ambao wanatakiwa kushirikishwa katika masuala mbalilmbali yanayoendelea...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s72-c/_MG_8020.jpg)
Mama janeth magufuli akonga nyoyo za watanzania ndani na nje ya nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFUKRz78mU0/Vf8D8yT0oYI/AAAAAAAH6Yk/exCuW7gHki4/s640/_MG_8020.jpg)