WATANZANA WAASWA KUTUNZA NA KUTHAMINI MAZINGIRA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Binilith Mahenge akimkaribisha mgeni Rasmi ili aweze kuzindua maadhimisho ya wiki ya Mazingira duniani katika viwanja vya Tangamano jijini Tanga.
Mkurugenzi wa Mazingira katika Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Julius Ningu akitoa maelezo kwa mgeni Rasmi Mheshimiwa Samuel Sitta alipotembelea banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika maadhimisho ya wiki ya siku ya mazingira jijini Tanga. Wengine wanaosikiliza ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N6hVAR_KmwQ/UyBoU4CG41I/AAAAAAAFTGQ/CYSzqau5vsI/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Wananchi Wilayani Mpanda waaswa kutunza vyanzo vya maji na mazingira
Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamepewa changamoto kutunza vyanzo vya maji na kuhifadhi mazingira kwani kuharibu mazingira kunapelekea kuchangia ukame na kukosekana na maji ambayo ndiyo uhai wa viumbe na tegemeo la maisha ya wanadamu na wanyama.
Changamoto hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mpanda Kibiriti Yasini wakati akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Milala Kata ya Kabungu kwenye maandalizi ya wiki ya maji inayotarajiwa kufanyika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s72-c/mc1.jpg)
Serikali yawaasa watanzania kuthamini na kutunza viwanja vya michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-R5kWAeNMFfU/Ux4A--JfeiI/AAAAAAAFSy8/6oYjoP8mWhQ/s1600/mc1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5TedMsx01Hs/Ux4A_rJE6cI/AAAAAAAFSzI/M5EnrKL9Fsw/s1600/mc3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IJzxYuXJ1Y/Ux4A_bemEzI/AAAAAAAFSzA/c2ob1aNezE0/s1600/mc4.jpg)
10 years ago
MichuziWATANZANIA WAASWA KUTHAMINI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NDANI YA NCHI
NA FRANK KIBIKI, IRINGA
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limewataka watanzania kujenga utamaduni wa kupenda bidhaa zinazotengenezwa ndani, badala ya zile zinazoingizwa kutoka nje ili kukuza uchumi wan chi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema ikiwa watanzania wataenzi bidhaa zinazotengenezwa ndani...
10 years ago
VijimamboUWANJA WA NDEGE MPANDA WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU
Kufuatia kukamilika kwa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda, mkoani Katavi, Serikali imewaasa watumiaji wa uwanja huo kutunza miundombino ya uwanja huo ili kuweza kuhudumia wakazi na wageni wapitao uwanjani hapo kwa muda mrefu.
Wito huo umetolewa na Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya miundombinu katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Watanzania waaswa kutunza vipato vyao wawe na maisha bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-HPL5vosY_ac/VBFW5Z5oQEI/AAAAAAAGixY/XRROZF9d91o/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
TASJA yataka Saadani kutunza mazingira
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Sayansi (TASJA), kimewataka wakazi wanaoishi eneo la Hifadhi ya Saadani, kuhifadhi mazingira ya Mbuga hiyo ili iweze kuendelea kuwa historia hadi katika vizazi vijavyo....