Serikali yawaasa watanzania kuthamini na kutunza viwanja vya michezo

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Leonard Thadeo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uharibifu wa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo(hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam alipokutana nao kuzungumzia uharibifu wa miundombinu katika Uwanja wa Taifa. Picha na Frank Shija - WHVUM
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
TEDDY DAVIS: Mjasiriamali anayehimiza Watanzania kuthamini vya kwao
TEDDY Alban Davis, ni mwekezaji mdogo na wa kati wa mkoa wa Pwani hususan Wilaya ya Bagamoyo kwa kuwekeza kwenye bidhaa mbalimbali na kinywaji. Davis, Mkurugenzi wa Smoke House Store,...
10 years ago
Michuzi02 Jun
WATANZANA WAASWA KUTUNZA NA KUTHAMINI MAZINGIRA


11 years ago
Mwananchi17 Feb
Viwanja vya michezo vya shule virudishwe
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Viwanja vya michezo virudishwe serikalini
11 years ago
GPLWAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Halmashauri nchini zashauriwa kutenga maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja vya michezo
Ofisa michezo wa wilaya ya Manyoni, Salumu Mohamedi Mkuya akiongoza ratiba ya michezo ya tamasha iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Manyoni, Jesca Mununo na Katibu wa CWT Wilaya ya Manyoni, Nalea Nyamuyo wakibadilishana mawazo wakati wa tamasha la michezo kwa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Arani Jumbe ( wa nne kutoka kulia), Mwenyekiti wa...
10 years ago
MichuziWatanzania kuendelea kuula viwanja vya Bayport
WATANZANIA wenye nia ya kumiliki ardhi, wataendelea kuipata fursa hiyo baada ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, kuwapatia...
10 years ago
GPL
WATANZANIA WACHANGAMKIA VIWANJA VYA BAYPORT VIKURUTI