Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pombe yaathiri uchumi Rombo

Wakati serikali imefunga viwanda 21 vya pombe kutokana na kutokidhi viwango, imebainika kuwa unywaji wa kilevi umesababisha uchumi wilayani Rombo kushuka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pombe haramu yaathiri watoto

BIASHARA ya pombe haramu inayodaiwa kufanyika majumbani, inadaiwa kuwa chanzo cha watoto kukosa malezi mazuri na kuchangia uovu. Hayo yamesemwa na Ofisa Mtendaji wa Serikali Kata ya Arusha Chini wilayani Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro, Koelly Shayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana

POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

Habarileo

‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’

IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Saratani ya uzazi yaathiri wengi

ASILIMIA 20 ya wanawake 2,000 waliofanyiwa uchunguzi wa saratani ya mlango ya uzazi, wamekutwa wakiwa na dalili za awali ambazo hutibika. Pia asilimia tatu ya wanawake 5,000 waliojitokeza kuchunguzwa saratani ya matiti, wamekutwa na dalili za awali. Hayo yalielezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Wanawake (Mewata), Dk Serafina Mukua.

 

10 years ago

Mtanzania

Mafuriko yaathiri kaya 40 mkoaniTanga

NA OSCAR ASSENGA, TANGA

KAYA 40 zenye watu zaidi ya 100 zimelazimika kuhama makazi yao na kuhifadhiwa kwa muda katika Shule ya Msingi Magaoni kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafurikiko jijini Tanga.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, baadhi ya waathirika hao wameitupia lawama Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kushindwa kuchimba mfereji wa kusafirishia maji ya mvua jambo linalochangia kutokea kwa mafuriko katika makazi yao.

Fatuma Hamisi alisema walishatoa taarifa kwa uongozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matatizo ya kiufundi yaathiri uchaguzi

Raia wengi wa Nigeria wamechelewa kupiga kura ya kumchagua rais wa taifa hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaathiri kaya 4000 Pwani

Zaidi ya kaya 4,000 zenye wakazi 16,000 katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani zimeathiriwa na mafuriko baada ya nyumba na mazao yao kusombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yaathiri siku kuu ya Eid

Ripoti kutoka Magharibi mwa Afrika zinasema kuwa sherehe za Eid Ul Adhaa zimeathiriwa vibaya na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani