Ebola yaathiri siku kuu ya Eid
Ripoti kutoka Magharibi mwa Afrika zinasema kuwa sherehe za Eid Ul Adhaa zimeathiriwa vibaya na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--TB7oMduHQM/VawdTz50l0I/AAAAAAAHqkI/y2yFxvmLeQo/s72-c/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
WAISLAM WA STOCKHOLM WALIVYO JUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KWENYE SIKU KUU YA EID
![](http://3.bp.blogspot.com/--TB7oMduHQM/VawdTz50l0I/AAAAAAAHqkI/y2yFxvmLeQo/s640/unnamed%2B%252889%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--z7IWuTp1Qc/VawdT0_y2DI/AAAAAAAHqkA/EVv1wuTpOFs/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cK3MHV-sqzM/VawdT7vymaI/AAAAAAAHqkE/WUijt1JuJ7U/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3mHa3xBy5bM/VawdUinwoFI/AAAAAAAHqkM/omR9pRbxJHQ/s640/unnamed%2B%252892%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoa wa Singida, waungana na wenzao kusherehekea siku kuu ya Eid El-Fitr
Sheikh wa mkoa wa Singida na Meya Mstahiki wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akitoa mawaidha yake kwenye kilele cha Siku kuu ya Eid El-Fitr kilichofanyika kwenye uwanja wa Namfua leo. Pamoja na mambo mengine, Sheikh Mahami amekisihi kikundi cha Ukawa kurudi Bungeni, ili waweze kuwapatia Watanzania Katiba itakayokidhi mahitaji ya zaidi ya miaka 50 ijayo.
Imamu wa msikiti wa Utemini, Jumanne Maghasi, akisoma dua kwenye kilele cha maadhimisho ya siku kuu ya Eid...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78010000/jpg/_78010826_78009367.jpg)
Ebola dampens Eid celebrations
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Eid el Fitr ni siku ya furaha, kufanya ibada
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lRrik6J1Wo0/U8lmYaKHRvI/AAAAAAAF3bY/BMsR61DFJ54/s72-c/unnamed.png)
chakula cha pamoja siku ya Eid Mosi coventry
![](http://2.bp.blogspot.com/-lRrik6J1Wo0/U8lmYaKHRvI/AAAAAAAF3bY/BMsR61DFJ54/s1600/unnamed.png)
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)
11 years ago
CloudsFM25 Jul
Kutana na dj fetty na dj Louise kutoka Scotland ndani ya escape 1 siku ya Eid pili
Siku ya Eid pili pale Escape 1 patakuwa hapatoshi ndani ya Red Lipstick, pale ambapo Dj wa kike kutoka Tanzania Dj Fetty na dj wa kike kutoka Scotland Dj Louise watakapo uwasha moto huku wasanii wakike wakifanya yao kwa stage
NI usiku muhimu sana hasaa kwa akina dada ingawa jinsia zote zinaruhusiwa, ambapo licha ya kuwa n amuziki na ladha tofauti pale dj hao watakapo kuwa katika mashine, lakini kutokuwa n amajor announcement kutoka kwa Fetty kwenda kwa akina dada wooooote. kiingilio ni sh...