Kutana na dj fetty na dj Louise kutoka Scotland ndani ya escape 1 siku ya Eid pili
Siku ya Eid pili pale Escape 1 patakuwa hapatoshi ndani ya Red Lipstick, pale ambapo Dj wa kike kutoka Tanzania Dj Fetty na dj wa kike kutoka Scotland Dj Louise watakapo uwasha moto huku wasanii wakike wakifanya yao kwa stage
NI usiku muhimu sana hasaa kwa akina dada ingawa jinsia zote zinaruhusiwa, ambapo licha ya kuwa n amuziki na ladha tofauti pale dj hao watakapo kuwa katika mashine, lakini kutokuwa n amajor announcement kutoka kwa Fetty kwenda kwa akina dada wooooote. kiingilio ni sh...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog31 Jul
Skylight Band yafunika mbaya Eid Mosi ndani ya Escape One!
Sam Mapenzi (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya fukwe za Escape One katika show maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya Eid-El Fitr huku akipewa back Vocal na Sony Masamba pamoja na Aneth Kushaba AK47.
Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band katika kusheherekea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ukumbi wa Escape One.
Mashabiki wa Skylight Band mdogo mdogo wakiachia kwenye dancing floor.
Sam Mapenzi akitoa burudani...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0011.jpg)
SKYLIGHT BAND YAFUNIKA MBAYA EID MOSI NDANI YA ESCAPE ONE!
9 years ago
MichuziNJOO TUSHEHEREKEE PAMOJA KWENYE MKESHA WA EID NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHA ESCAPE ONE MIKOCHENI
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Skylight yaendelea kukonga nyoyo mashabiki wake ndani ya Escape One Mikocheni ni kila siku ya Jumapili
9 years ago
VijimamboSKYLIGHT YAENDELEA KUKONGA NYOYO MASHABIKI WAKE NDANI YA ESCAPE ONE MIKOCHENI NI KILA SIKU YA JUMAPILI
10 years ago
Michuzi16 Jul
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI katika kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Fitr
![download](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/download1.jpg)
Jeshi la Polisi nchini linapenda kuwaondoa hofu wananchi kuwa,...
10 years ago
VijimamboTHE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbKSIxEcMBI/VavMZMuhl2I/AAAAAAABSL4/K8gUhWx8El4/s640/DSC_0033.jpg)
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa...
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Hello’ ya Adele yawa video ya pili kuwahi kufikisha views milioni 100 ndani ya siku 5
![Adele hello](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Adele-hello-94x94.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...