Saratani ya uzazi yaathiri wengi
ASILIMIA 20 ya wanawake 2,000 waliofanyiwa uchunguzi wa saratani ya mlango ya uzazi, wamekutwa wakiwa na dalili za awali ambazo hutibika. Pia asilimia tatu ya wanawake 5,000 waliojitokeza kuchunguzwa saratani ya matiti, wamekutwa na dalili za awali. Hayo yalielezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Wanawake (Mewata), Dk Serafina Mukua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Oct
TZ kinara saratani ya shingo ya uzazi
11 years ago
Habarileo13 Feb
Wasichana kupatiwa chanjo ya saratani ya uzazi
CHANJO ya kuzuia saratani ya mlango wa uzazi, iko mbioni kutolewa na serikali kwa wasichana walio shuleni.
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
PSI: Wanaume chanzo saratani ya mlango wa uzazi
WANAUME wametajwa kuwa chanzo kikuu cha wanawake kupata ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi ambayo imekuwa tishio kwa sasa. Mshauri wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la PSI-Tanzania, Dk. Mashafi...
11 years ago
MichuziASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAKO HATARINI KUPATA SARATANI YA SHINGO YA UZAZI.
11 years ago
Michuzi
Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi

Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora





10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili

Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10