Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lhQsMnv1qk/U-IQw_AnNzI/AAAAAAAF9i4/4PTuuTHCJM8/s72-c/Mama+Salma.jpg)
Na Anna Nkinda - Washington
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Aug
‘Wanaume wasiotahiriwa chanzo cha saratani ya shingo ya kizazi’
IMEELEZWA kuwa wanawake wanaopata ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi kwa kiasi kikubwa inatokana na kufanya mapenzi na wanaume ambao hawajatahiriwa.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Saratani mlango wa kizazi inaongoza nchini
TAKWIMU zinaonyesha kuwa kila mwaka kuna wagonjwa wapya 40,000 wa saratani huku saratani ya mlango wa kizazi ikiongoza. Hayo yalibainishwa na Daktari bingwa wa Saratani, ambaye pia ni Daktari bingwa...
11 years ago
Mwananchi01 May
Ondoeni dhana potofu saratani ya mlango wa kizazi-Rai
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
PSI: Wanaume chanzo saratani ya mlango wa uzazi
WANAUME wametajwa kuwa chanzo kikuu cha wanawake kupata ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi ambayo imekuwa tishio kwa sasa. Mshauri wa Shirika lisilokuwa la kiserikali la PSI-Tanzania, Dk. Mashafi...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
TBCF na mkakati wa mapambano ya kuzuia saratani ya matiti na mlango wa kizazi nchini
Hospitali ya Saratani ya Ocean Road.
Na Beatrice Lyimo, Maelezo.
Takribani watu 40,000 nchini wakiwemo wanawake na wanaume wanapata ugonjwa wa saratani kila mwaka, ambapo asilimia 12 kati yao wana saratani ya matiti huku wengine wakiwa na saratani ya mlango wa kizazi.
Takwimu toka Hospitali ya Saratani ya Ocean Road zinaonyesha kuwa kati ya wagonjwa hao, idadi ya wanawake wanaopata ugonjwa huo kila mwaka ni zaidi ya 3,000 ambapo idadi hiyo ni sawa na asilimia 10 ya wanaofika kwa ajili ya...
10 years ago
MichuziWADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI