Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matatizo ya kiufundi yaathiri uchaguzi

Raia wengi wa Nigeria wamechelewa kupiga kura ya kumchagua rais wa taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi

Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki baada kwa wingi wa watu.  Wakishuka wananchi.

Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.

  Wananchi wakiwa katika mshangao.

2 (3)

Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.

Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.

  MV. Kigamboni...

 

9 years ago

Michuzi

TATIZO LA KIUFUNDI HALINA LENGO LA KUWAKOMOA WANANCHI-MRAMBA

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam.SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kukatikatika kwa umeme linapata hasara ya Sh. Milioni 500 kwa siku na kwamba watanzania waelewe ni matatizo ya kiufundi halina lengo la kuwakomoa wananchi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mkurugenzi Mtendaji wa  Tanesco, Felichesmi Mramba alisema hali ya kukatika umeme inayoendelea nchini ni kutokana na marekebisho ya baadhi ya mitambo ya kuzalisha umeme na mifumo ya gesi...

 

9 years ago

Vijimambo

MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi FelchesmiMkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.

Mramba alisema...

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao

WADAU WA FULLSHANGWE BLOG TUMEPATA TATIZO LA KWIKWI YA KIUFUNDI HAPO JANA HIVYO TUNALIFANYIA KAZI HARAKA KWA KADIRI INAVYOWEZEKANA ILI TUWEZE KURUDI HEWANI.
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG

 

10 years ago

Mtanzania

Mafuriko yaathiri kaya 40 mkoaniTanga

NA OSCAR ASSENGA, TANGA

KAYA 40 zenye watu zaidi ya 100 zimelazimika kuhama makazi yao na kuhifadhiwa kwa muda katika Shule ya Msingi Magaoni kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafurikiko jijini Tanga.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, baadhi ya waathirika hao wameitupia lawama Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kushindwa kuchimba mfereji wa kusafirishia maji ya mvua jambo linalochangia kutokea kwa mafuriko katika makazi yao.

Fatuma Hamisi alisema walishatoa taarifa kwa uongozi...

 

11 years ago

Habarileo

‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’

IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Saratani ya uzazi yaathiri wengi

ASILIMIA 20 ya wanawake 2,000 waliofanyiwa uchunguzi wa saratani ya mlango ya uzazi, wamekutwa wakiwa na dalili za awali ambazo hutibika. Pia asilimia tatu ya wanawake 5,000 waliojitokeza kuchunguzwa saratani ya matiti, wamekutwa na dalili za awali. Hayo yalielezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Wanawake (Mewata), Dk Serafina Mukua.

 

10 years ago

Mwananchi

Pombe yaathiri uchumi Rombo

Wakati serikali imefunga viwanda 21 vya pombe kutokana na kutokidhi viwango, imebainika kuwa unywaji wa kilevi umesababisha uchumi wilayani Rombo kushuka.

 

11 years ago

Habarileo

Pombe haramu yaathiri watoto

BIASHARA ya pombe haramu inayodaiwa kufanyika majumbani, inadaiwa kuwa chanzo cha watoto kukosa malezi mazuri na kuchangia uovu. Hayo yamesemwa na Ofisa Mtendaji wa Serikali Kata ya Arusha Chini wilayani Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro, Koelly Shayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani