Matatizo ya kiufundi yaathiri uchaguzi
Raia wengi wa Nigeria wamechelewa kupiga kura ya kumchagua rais wa taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
News Alert : MV.Magogoni yapata hitilafu ya kiufundi
Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
Wananchi wakiwa katika mshangao.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bCOAOV_jk8k/VhEnPbOPBaI/AAAAAAAH81g/j8sGHTktmmg/s72-c/download.jpg)
TATIZO LA KIUFUNDI HALINA LENGO LA KUWAKOMOA WANANCHI-MRAMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-bCOAOV_jk8k/VhEnPbOPBaI/AAAAAAAH81g/j8sGHTktmmg/s320/download.jpg)
9 years ago
Vijimambo05 Oct
MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI
![Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899064/highRes/1138196/-/maxw/600/-/x2cj1nz/-/taneskoo.jpg)
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.
Mramba alisema...
11 years ago
Michuzi11 Feb
libeneke la full shangwe lapata kwikwi ya kiufundi, kurudi hewani muda si mrefu ujao
TUNAOMBA RADHI KWA WADAU WETU NBC, NHIF, TTB, NMB, THE FADHAGETI SANITARIUM, WILNA INTERNATIONAL NA WENGINE WOTE PAMOJA NA WATEMBELEAJI WETU POPOTE WALIPO KWA USUMBUFU WOWOTE UTAKAOJITOKEZA.
JOHN BUKUKU MMILIKI WA FULL SHANGWE BLOG
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Mafuriko yaathiri kaya 40 mkoaniTanga
NA OSCAR ASSENGA, TANGA
KAYA 40 zenye watu zaidi ya 100 zimelazimika kuhama makazi yao na kuhifadhiwa kwa muda katika Shule ya Msingi Magaoni kutokana na mvua kubwa iliyosababisha mafurikiko jijini Tanga.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, baadhi ya waathirika hao wameitupia lawama Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kushindwa kuchimba mfereji wa kusafirishia maji ya mvua jambo linalochangia kutokea kwa mafuriko katika makazi yao.
Fatuma Hamisi alisema walishatoa taarifa kwa uongozi...
11 years ago
Habarileo29 Mar
‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’
IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo13 Mar
Saratani ya uzazi yaathiri wengi
ASILIMIA 20 ya wanawake 2,000 waliofanyiwa uchunguzi wa saratani ya mlango ya uzazi, wamekutwa wakiwa na dalili za awali ambazo hutibika. Pia asilimia tatu ya wanawake 5,000 waliojitokeza kuchunguzwa saratani ya matiti, wamekutwa na dalili za awali. Hayo yalielezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Wanawake (Mewata), Dk Serafina Mukua.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Pombe yaathiri uchumi Rombo
11 years ago
Habarileo02 Apr
Pombe haramu yaathiri watoto
BIASHARA ya pombe haramu inayodaiwa kufanyika majumbani, inadaiwa kuwa chanzo cha watoto kukosa malezi mazuri na kuchangia uovu. Hayo yamesemwa na Ofisa Mtendaji wa Serikali Kata ya Arusha Chini wilayani Moshi Vijijini Mkoa wa Kilimanjaro, Koelly Shayo.