‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’
IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
AU kuzungumzia migogoro Afrika
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Tanzania, Afrika Kusini kushirikiana kiuchumi
NCHI za Tanzania na Afrika Kusini zimedhamiria kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kwa faida ya wananchi wa pande zote mbili. Juhudi za karibuni kuimarisha mahusiano hayo zilishuhudiwa wiki hii...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika
9 years ago
StarTV27 Nov
Afrika kuwa huru kiuchumi isipotegemea nje
Mwenyekiti wa Kituo cha Hifadhi ya Fikra za Mwalimu Nyerere [Kavazi ya Mwalimu Nyerere] Profesa Issa Shivji amesema nchi za Bara la Afrika bado zinahitaji itikadi ya ukombozi.
Amesema baada ya kupitia unyonyaji na ukandamizaji wa muda mrefu, uhuru pekee utakamilika endapo nchi za kiafrika zitajitegemea kiuchumi bila kuathiriwa na nguvu kutoka nje.
Katika mdahalo Jijini Dar es salaam wa kujadili fikra na harakati za Mwalimu Nyerere za kuwaunganisha na kuwakomboa waAfrika kiuchumi, kisiasa na...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini
10 years ago
Habarileo11 May
Viongozi Afrika watakiwa kuepusha nchi na migogoro
MWAKILISHI wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani, Balozi Amina Salum Ally amewataka viongozi wa Afrika kutumia mbinu mbalimbali ili kuziepusha nchi zao na migogoro ya mara kwa mara inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani na kudumaa kwa uchumi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjas7Jpaols/VSaI1Aob_eI/AAAAAAAC2-0/-r_MbvB10MU/s72-c/2.jpg)
MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjas7Jpaols/VSaI1Aob_eI/AAAAAAAC2-0/-r_MbvB10MU/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-78U5v8ml7m8/VSaI1F4EdFI/AAAAAAAC2-4/fuKWTwzIm7o/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o1T3oogcGIM/VSaI20FhB0I/AAAAAAAC2_E/liHtkgvTNgY/s1600/4.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Aug
MARAIS WASTAAFU : Afrika ikiungana itaharakisha mapinduzi kiuchumi
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Dar es Salaam: Linalotisha Afrika kwa kasi kiuchumi