Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania, Afrika Kusini kushirikiana kiuchumi

NCHI za Tanzania na Afrika Kusini zimedhamiria kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kwa faida ya wananchi wa pande zote mbili. Juhudi za karibuni kuimarisha mahusiano hayo zilishuhudiwa wiki hii...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini

Jabali la ukombozi limeondoka duniani. Amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Huyo si mwingine bali ni Nelson Mandela ambaye aliwakomboa Waafrika Kusini kutoka kwenye minyororo ya makaburu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii Tanzania, A.Kusini kukuza fursa za kiuchumi

HIVI karibuni ulifanyika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Utalii Cape Town Afrika Kusini na kuhudhuliwa na watu zaidi ya 360. Mkutano huo wa mwaka ulifunguliwa na Waziri wa Utalii wa...

 

5 years ago

Michuzi

IMF KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIMARISHA SERA ZA KIUCHUMI



 Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akipeana mkono na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Bw. Jens Reinke, aliefika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Jijini Dodoma kujitambulisha.Mtakwimu Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBC), Dkt. Albina Chuwa (kulia) akieleza...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA AAGIZA MAMLAKA ZA HALI YA HEWA KUSINI MWA AFRIKA KUSHIRIKIANA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KANDA YA SADC

Mamlaka ya Hali ya Hewa kwa niaba ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kila mwaka wa umoja wa taasis za hali ya hewa katika nchi za Kusini mwa Afrika (MASA).
Mkutano huo unafanyika mkoani Arusha. Akifungua mkutano huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha mgeni rasmi ambaye ni mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Jowika W. Kasunga alizitaka taasis za hali ya hewa kusini mwa Afrika ikiwemo TMA kushirikiana katika kutatua changamoto zinazoikabili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha mamlaka za uwekezaji

UHUSIANO wa kibiashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Afrika Kusini unazidi kuimarika baada ya nchi hizo kufikia makubaliano ya kuunda vikosi kazi katika nchi hizo ili kuimarisha mamlaka za...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete asifia uhusiano wa Tanzania na Afrika Kusini

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesifia uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini, akisema haujapata kuwa mzuri zaidi ya ulivyo sasa.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha kanda maalum za uwekezaji

TANZANIA na Afrika Kusini zimeingia makubaliano ya kuunda vikosi kazi kuimarisha mamlaka za ukanda maalumu za uwekezaji katika nchi hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya ujumbe wa maofisa kutoka Serikali ya Afrika Kusini kutembelea Mamlaka ya Ukanda Maalum ya Uwekezaji (EPZA) jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YANUIA KUWAONDOA RAIA WAKE WALIOKO AFRIKA KUSINI

Taswira za machafuko nchini Afrika Kusini, ambapo wenyeji wanawashambulia raia wa kigeni huku wakitakiwa wageni waondoke nchini humo. Wenyeji wakifanya vurugu na kuchoma moto mataili. Kufuatia kushamili siku hadi siku kwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini, Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, inapanga kuwaondoa raia wake nchini humo. Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza zoezi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani