Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YANUIA KUWAONDOA RAIA WAKE WALIOKO AFRIKA KUSINI

Taswira za machafuko nchini Afrika Kusini, ambapo wenyeji wanawashambulia raia wa kigeni huku wakitakiwa wageni waondoke nchini humo. Wenyeji wakifanya vurugu na kuchoma moto mataili. Kufuatia kushamili siku hadi siku kwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini, Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, inapanga kuwaondoa raia wake nchini humo. Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza zoezi la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Malawi kuwaondoa raia wake Afrika Kusini

Malawi imeamua kuwaondoa raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kukithiri kwa ghasia za kushambuliwa wageni

 

5 years ago

BBCSwahili

Conovirus: Nigeria yathibitisha kuingia kwa corona, Afrika Kusini kuwaondoa raia wake Wuhan

Nigeria imethibitisha kuwepo kwa mtu mmoja mwenye maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

GPL

NCHI ZA JIRANI NA AFRIKA KUSINI ZAWEKA MIKAKATI YA KUWAONDOA RAIA WAO NCHINI HUMO

Raia wa Afrika Kusini wakiwa wameshika silaha wakati wa vurugu za kuwashambulia raia wa kigeni nchini humo. Polisi wa Afrika Kusini wakijaribu kutuliza ghasia. Raia wa Afrika kusini akiwa amejibanza na kisu…

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess

Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.

 

5 years ago

CCM Blog

BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA


Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...

 

5 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA

Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini

Mfalme Goodwill Zwelithini kutoa wito wa kusitishwa kwa ghasia kufuatia kuongezeka kwa mashambulio ya kibaguzi Afrika Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawaondoa raia wake Yemen kusini

Saudi Arabia imedaiwa kuwahamisha raia wake na wanadiplomasia wa kigeni kutoka mji wa bandari ya Aden kusini mwa Yemen .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani