Malawi kuwaondoa raia wake Afrika Kusini
Malawi imeamua kuwaondoa raia wake kutoka Afrika Kusini kutokana na kukithiri kwa ghasia za kushambuliwa wageni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKO1Tf3vOGy9-qtSSOkn4sRB7BYi*DgBL112w-fRFYxGScDsFUQpMgzNCYejbi3a5VStnrbc1BkPBicg*p4WvH9x/jozi2.jpg?width=650)
TANZANIA YANUIA KUWAONDOA RAIA WAKE WALIOKO AFRIKA KUSINI
Taswira za machafuko nchini Afrika Kusini, ambapo wenyeji wanawashambulia raia wa kigeni huku wakitakiwa wageni waondoke nchini humo. Wenyeji wakifanya vurugu na kuchoma moto mataili. Kufuatia kushamili siku hadi siku kwa mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini, Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, inapanga kuwaondoa raia wake nchini humo. Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza zoezi la...
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Conovirus: Nigeria yathibitisha kuingia kwa corona, Afrika Kusini kuwaondoa raia wake Wuhan
Nigeria imethibitisha kuwepo kwa mtu mmoja mwenye maambukizi ya virusi vya corona.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEjMCDWBuMXI9YBoVITBbBC8y*QzS3WYKbMgOVioItO5YF9Nm0TcchQso3alE*ICMag9XsMSYhTH3kb0mgXXC97a/RaiawaAfrikakusiniwakiwawameshikamagongonavirungu.jpg?width=600)
NCHI ZA JIRANI NA AFRIKA KUSINI ZAWEKA MIKAKATI YA KUWAONDOA RAIA WAO NCHINI HUMO
Raia wa Afrika Kusini wakiwa wameshika silaha wakati wa vurugu za kuwashambulia raia wa kigeni nchini humo. Polisi wa Afrika Kusini wakijaribu kutuliza ghasia. Raia wa Afrika kusini akiwa amejibanza na kisu…
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Coronavirus: Marekani kuwaondoa raia wake katika meli ya Diamond Princess
Hatua hiyo inajiri huku idadi ya waliofariki kwa virusi vya corona ikizidi 1,500.
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini
Mfalme Goodwill Zwelithini kutoa wito wa kusitishwa kwa ghasia kufuatia kuongezeka kwa mashambulio ya kibaguzi Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Saudia yawaondoa raia wake Yemen kusini
Saudi Arabia imedaiwa kuwahamisha raia wake na wanadiplomasia wa kigeni kutoka mji wa bandari ya Aden kusini mwa Yemen .
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Raia wa Afrika Kusini akutwa amekufa makaburini Dar es Salaam
Tukio la kuokotwa mwili wa raia wa Afrika Kusini makaburini jijini Dar es Salaam hivi karibuni kumeacha maswali mengi huku polisi wakilipiga danadana.
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania