Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU kuzungumzia migogoro Afrika

Viongozi wa Afrika wanakutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa ambapo agenda kuu yao itakuwa swala la mizozo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Afrika kuzungumzia Usalama

Mkutano wa awamu ya pili wa amani na usalama barani Afrika utafanyika mjini Dakar nchini Senegal.

 

11 years ago

Habarileo

‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’

IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA

 Jaji Mstaafu,Thomas Mihayo akichangia maada Wadau katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.  Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki,Kitengo Usuluhishi,Fakihi Jundu akizungumza na vyombo vya habari katika  Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.Balozi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi Afrika watakiwa kuepusha nchi na migogoro

Mwakilishi wa Kudumu wa AU nchini Marekani, Balozi Amina Salum AllyMWAKILISHI wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani, Balozi Amina Salum Ally amewataka viongozi wa Afrika kutumia mbinu mbalimbali ili kuziepusha nchi zao na migogoro ya mara kwa mara inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani na kudumaa kwa uchumi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kongamano kuzungumzia soka letu

TAIFA Stars imetolewa na Algeria katika kinyang’anyiro cha kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya ma

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

Kingunge kuzungumzia uchaguzi mkuu

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru amesema atazungumzia mchakato wa Uchaguzi Mkuu baadaye baada ya kukusanya taarifa za kutosha.

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe kuzungumzia Bunge la Katiba leo

Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe anatarajiwa kutangaza utaratibu wa uwasilishaji wa majina kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 201 kutoka makundi mbalimbali ya kijamii kwa ajili ya Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Rais Kikwete kuzungumzia sakata la Escrow

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia taifa leo wakati atakapozungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Prof. Muhongo agoma kuzungumzia urais

profesa MuhongoNA EVANS MAGEGE

SIKU chache baada ya wazee wa Wilaya ya Musoma, na jana tena baadhi ya viongozi wa mashina na matawi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dar es Salaam kumtaka aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, achukue fomu ya kuwania urais, mwanasiasa huyo amesema hataki kujisumbua kuzungumzia mambo ya urais kwa sasa.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu katikati ya wiki hii kuhusiana na tamko hilo, Profesa Muhongo, licha ya kukiri wazi kuwa amesikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani