MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjas7Jpaols/VSaI1Aob_eI/AAAAAAAC2-0/-r_MbvB10MU/s72-c/2.jpg)
Jaji Mstaafu,Thomas Mihayo akichangia maada Wadau katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.
Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki,Kitengo Usuluhishi,Fakihi Jundu akizungumza na vyombo vya habari katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Mwarobaini wizi wa simu wapatikana
WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n6_HOyamA0M/XqQT3146FNI/AAAAAAALoKs/yaE7VqI_IskxuehwT3ZaevSotKOUMAFUQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.11.jpeg)
MWAROBAINI WA BARABARA MANISPAA YA IRINGA WAPATIKANA-KAIMU MEYA RYATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6_HOyamA0M/XqQT3146FNI/AAAAAAALoKs/yaE7VqI_IskxuehwT3ZaevSotKOUMAFUQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.11.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yUBKdly5woQ/XqMWkOA0sVI/AAAAAAAAH0c/jcZtHhomhXcg1dGtQupt4l4XsUscs-TcwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.48.55.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bMSuuM8sBFA/XqMWkmlvmfI/AAAAAAAAH0g/Y8qbhZIT_p4lFDjhLv7skXfaKcGIK4FigCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.14.jpeg)
Katapila likiwa katika mtaa wa Kihodombi likisembua Barabara ya mtaa huo ikiwa ni siku ya uzinduzi wa mkakati wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa.
********************************
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata amezindua rasmi mkakati maalum wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QY_QQo7cEQM/U3SB9P3K2qI/AAAAAAAFhy0/d5e3CEjAhNs/s72-c/unnamed+(6).jpg)
WAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QY_QQo7cEQM/U3SB9P3K2qI/AAAAAAAFhy0/d5e3CEjAhNs/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MlYfTUDjYhM/U3SB9y_2DTI/AAAAAAAFhy8/DPed6qKwGWA/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
GPLWAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
9 years ago
VijimamboTAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake