Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI‏

Ofisa mikopo kwa wateja wadogowadogo wa Benki ya KCB Tanzania, Teresia Soko akitoa mada kuhusiana na baadhi ya huduma za benki hiyo kwa wafanyabiashara mbalimbali wa mipaka ya Tanzania, ambao walikutana jijini Arusha kujadili mikakati ya kibiashara katika soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Richard Sesibera (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara wa Jumuiya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI

Ofisa mikopo kwa wateja wadogowadogo wa Benki ya KCB Tanzania,Teresia Soko akitoa mada kuhusiana na baadhi ya huduma za benki hiyo kwa Wafanyabiashara mbalimbali wa mipaka ya Tanzania,Ambao walikutana jijini Arusha kujadili mikakati ya kibiashara katika soko la jumuiya ya afrika mashariki. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika mashariki Richard Sesibera(kushoto)akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara wa Jumuiya ya Afrika mashariki,Felix Mosha,wakati wa mkutano wa...

 

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

10 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo

unnamed

MKUU  wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)

unnamed (1)

Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...

 

10 years ago

Ykileo

KONGAMANO LA MASWALA YA TEHAMA AFRIKA LA TAZAMIA MASWALA YA USALAMA MITANDAO

Baada ya Mwezi Oktoba kuisha ambapo kubwa lilikua ni kukuza uelewa juu ya matumizi salama ya mitandao, Taarifa ya kumalizika kwa mwezi huo inaweza kusomeka "HAPA" Mambo mengi tuliyo yajadili yameonekana kuangaziwa tena kwenye kongamano la maswala ya TEHAMA Jijini Cairo Nchini Misri. Muundo wa kongamano hili ulihusisha meza kuu inayo fungua mijadala na wasikilizaji kuchangia na kuuliza mwaswali pamoja na kupata njia ya kufikia malengo kupitia mada tofauti tofauti.


Naibu Waziri wa Mawasiliano...

 

10 years ago

Habarileo

Marais kujadili Shirikisho la Afrika Mashariki

MKUTANO wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), utafanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Nairobi, Kenya ambapo pamoja na mambo mengine utajadili hatua iliyofikiwa ya uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA

 Jaji Mstaafu,Thomas Mihayo akichangia maada Wadau katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.  Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki,Kitengo Usuluhishi,Fakihi Jundu akizungumza na vyombo vya habari katika  Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.Balozi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Umoja wa vyama vya walimu wa nchi za AFR/Mashariki wafanya mkutano wa siku 4 Zanzibar

01

Mratibu Msaidizi wa Utafiti na Mafunzo wa Umoja wa Vyama vya Walimu wa Nchi za Afrika Mashariki (FEATU) Bi. Lucy Njura Barimbui akiwasilisha mpango kazi wa miaka 5 ya Mtandao wa Wanawake wa Vyama vya Walimu wa Afrika Mashariki (WNEA) katika Mkutano wa siku 4 uliofanyika Hoteli ya Executive iliyopo Kilimani Mjini Zanzibar.

02

Katibu Mkuu wa chama cha walimu Zanzibar (ZATU) Mussa Omar Tafurwa akichangia kitu katika Mkutano wa mpango kazi wa miaka 5 wa Mtandao wa wanawake wa Vyama vya walimu wa...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI SIMBA AZINDUWA MKUTANO KUJADILI UTOKOMEZAJI UKEKETAJI TANZANIA‏

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.[/caption][caption Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA DAR ES SALAAM KUJADILI CHANGAMOTO ZA NCHI ZAO

 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua kongamano la kujadili mchango wa vyombo vya habari katika kuimarisha demokarasia na mambo mbalimbali yanayogusa jumuiya hiyo Dar es Salaam leo Mwenyekiti wa Shirikisho la Wafanyabiashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Felix Mosha akizungumza katika kongamano hilo. Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo, Assa Mwambene akijibu maswali ya wanahabari.

BOFYA HAPA KUONA PICHA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani