KONGAMANO LA MASWALA YA TEHAMA AFRIKA LA TAZAMIA MASWALA YA USALAMA MITANDAO
Baada ya Mwezi Oktoba kuisha ambapo kubwa lilikua ni kukuza uelewa juu ya matumizi salama ya mitandao, Taarifa ya kumalizika kwa mwezi huo inaweza kusomeka "HAPA" Mambo mengi tuliyo yajadili yameonekana kuangaziwa tena kwenye kongamano la maswala ya TEHAMA Jijini Cairo Nchini Misri. Muundo wa kongamano hili ulihusisha meza kuu inayo fungua mijadala na wasikilizaji kuchangia na kuuliza mwaswali pamoja na kupata njia ya kufikia malengo kupitia mada tofauti tofauti.
Naibu Waziri wa Mawasiliano...
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
maswala ya usalama mitandao
Nchi ya Tanzania imepata bahati ya kipekee kuwa mwenyeji wa warsha ya Kimataifa ya maswala ya usalama mitandao.
10 years ago
GPLTANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA NNE WA MASWALA YA USALAMA MITANDAO
 KATIBU MKUU WIZARA YA SAYANSI MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA (PROF. PATRICK MAKUNGU) AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA WARSHA YA USALAMA MITANDAO AMBAPO TANZANIA IMEKUA MWENYEJI WAKE.  MKURUGENZI MKUU WA COSTECH NCHINI (DR. HASSAN MSHINDA) AKITOA MANENO MACHACHE KATIKA UFUNGUZI WA WARHA HIYO.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ODfOb1s4Ch0/VEdGJIPO4zI/AAAAAAAGsis/o5VosJhsye0/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
TANZANIA YAWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA NNE WA MASWALA YA USALAMA MITANDAO DUNIANI
Na Yusuph KileoKumekua na makongamano, Mikutano na warsha mbali mbali zihusuzo maswala ya usalama mitandao katika mataifa mbali mbali ambapo mijadala ya kina kuhusiana na maswala ya usalama mitandao hufanywa. Mijadala yenye nia na madhumuni ya kuangazia macho maswala ambayo hivi sasa yamekua yakiitikisa dunia. Tanzania kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) kwa kushirikiana na Tume ya Sayansi na Teknolojia kwa Maendeleo ya nchi za Kusini(COMSAT) na taasisi nyingine wameweza...
10 years ago
YkileoWARSHA YA MASWALA YA USALAMA MITANDAO NCHINI YA FUNZA MENGI NA KUIBUA FURSA ZA AINA YAKE
Warsha hii imekuja muda muafaka baada ya taarifa niliyo iandikia "HAPA" niliyo himiza na kuonyesha umuhimu mkubwa wa kuunganisha nguvu za pamoja kwenye vita dhidi ya uhalifu mtandao ikizingatiwa uhalifu mtandao ni uhalifu usio mipaka na...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QY_QQo7cEQM/U3SB9P3K2qI/AAAAAAAFhy0/d5e3CEjAhNs/s72-c/unnamed+(6).jpg)
WAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QY_QQo7cEQM/U3SB9P3K2qI/AAAAAAAFhy0/d5e3CEjAhNs/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MlYfTUDjYhM/U3SB9y_2DTI/AAAAAAAFhy8/DPed6qKwGWA/s1600/unnamed+(7).jpg)
11 years ago
GPLWAFANYABIASHARA WAFANYA MKUTANO KUJADILI MASWALA YA KIBIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI
Ofisa mikopo kwa wateja wadogowadogo wa Benki ya KCB Tanzania, Teresia Soko akitoa mada kuhusiana na baadhi ya huduma za benki hiyo kwa wafanyabiashara mbalimbali wa mipaka ya Tanzania, ambao walikutana jijini Arusha kujadili mikakati ya kibiashara katika soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Richard Sesibera (kushoto) akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara wa Jumuiya...
10 years ago
YkileoKONGAMANO LA C2C LAKAMILIKA — USALAMA MITANDAO WAJADILIWA SIKU ZOTE MBILI
9 years ago
Vijimambo05 Oct
MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI
![Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2899064/highRes/1138196/-/maxw/600/-/x2cj1nz/-/taneskoo.jpg)
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.
Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.
Mramba alisema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania