Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika kuwa huru kiuchumi isipotegemea nje

Mwenyekiti wa Kituo cha Hifadhi ya Fikra za Mwalimu Nyerere [Kavazi ya Mwalimu Nyerere] Profesa Issa Shivji amesema nchi za Bara la Afrika bado zinahitaji itikadi ya ukombozi.

Amesema baada ya kupitia unyonyaji na ukandamizaji wa muda mrefu, uhuru pekee utakamilika endapo nchi za kiafrika zitajitegemea kiuchumi bila kuathiriwa na nguvu kutoka nje.

Katika mdahalo Jijini Dar es salaam wa kujadili fikra na harakati za Mwalimu Nyerere za kuwaunganisha na kuwakomboa waAfrika kiuchumi, kisiasa na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Migogoro yaathiri Afrika kiuchumi’

IKIWA migogoro inayojitokeza mara kwa mara itaachwa iendelee, kuna uwezekano mkubwa wa bara zima la Afrika kuathirika kiuchumi, imeelezwa. Kauli hiyo imetolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Ulinzi cha Taifa (NDC), Profesa Eginald Mihanjo wakati akitoa mada katika mkutano wa vyama vyenye mrengo wa ujamaa, ulioanza jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Zao la muhogo linavyoweza kuwa na manufaa kiuchumi

Kadri siku zinavyozidi kwenda kumekuwepo juhudi za makusudi za uendelezaji wa zao la muhogo nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Afrika Kusini kushirikiana kiuchumi

NCHI za Tanzania na Afrika Kusini zimedhamiria kuimarisha mahusiano ya kibiashara na uwekezaji kwa faida ya wananchi wa pande zote mbili. Juhudi za karibuni kuimarisha mahusiano hayo zilishuhudiwa wiki hii...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini

Jabali la ukombozi limeondoka duniani. Amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Huyo si mwingine bali ni Nelson Mandela ambaye aliwakomboa Waafrika Kusini kutoka kwenye minyororo ya makaburu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Athari za kiuchumi za mashirika ya ndege Afrika

IATA imesema madhara ya kiuchumi yanakuwa mabaya zaidi kwa mashirika ya ndege ya Afrika ambapo mwaka jana yalipata hasara ya pauni milioni 78.

 

10 years ago

Habarileo

‘Uchaguzi Mkuu kuwa huru, haki’

SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utakuwa huru na wa haki, kwa sababu imejipanga kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu za kupiga kura zinawekwa wazi na kufuatwa na kila mtu.

 

10 years ago

Mwananchi

MARAIS WASTAAFU : Afrika ikiungana itaharakisha mapinduzi kiuchumi

Siku hizi Afrika iko nyuma kwa kila kitu, kuanzia maendeleo ya viwanda, teknolojia, elimu, afya, kilimo na hata miundombinu.

 

10 years ago

Mwananchi

Dar es Salaam: Linalotisha Afrika kwa kasi kiuchumi

Huenda wengi wasiamini kwa haraka, lakini taarifa za wataalamu wa uchumi, zinaonyesha Jiji la Dar es Salaam ndilo linaloongoza kwa fursa zaidi barani Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Badwel aachiwa huru, atakiwa kuwa makini

Dar es Salaam. Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana alimuachia huru Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa, lakini akamtaka kurekebisha tabia yake mbele ya watu wanaomzunguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani