Luiz:tuwieni radhi Ujeruman ni timu bora
Nahodha wa Brazil David Luiz amewaomba msamaha mashabiki wao kwa kichapo cha mabao 1-7 dhidi ya Ujerumani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TZ NCHINI URUSI, NA WA UJERUMAN NCHINI TZ NA KUMKARIBISHA MPYA WA UJERUMAN


11 years ago
Michuzi.jpg)
Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast wamuomba radhi Balozi Seif Ali Idd
Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast ya Kijiji cha Upenja umemuomba radhi Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kufuatia uamuzi wa Timu hiyo kuruhusu kufanyika kwa Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Upinzani uliozaa kashfa na matusi dhidi ya mbunge huyo.
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...
11 years ago
GPL
TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI
1. Germany (+1)
2. Argentina (+3)
3. Netherlands (+12)
4. Colombia (+4)
5. Belgium (+6)
6. Uruguay (+1)
7. Brazil (-4)
8. Spain (-7)
9. Switzerland (-3)
10. France (+7)
11. Portugal (-7)
12. Chile (+2)
13. Greece (-1)
14. Italy (-5)
15. USA (-2)
16. Costa Rica (+12)
17. Croatia (+1)
18. Mexico (+2)
19. Bosnia and Hercegovina (+2)
20. England (-10) ...
11 years ago
BBCSwahili16 Dec
Timu zitakazokutana 16 bora Uefa
Droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya imefanyika ambapo Manchester City imepangwa kumenyana na Barcelona.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars kukutana na timu bora Afrika
Timu ya taifa ya Tanzania itakutana na timu iliyoorodheshwa bora zaidi Afrika kwenye raundi ijayo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2018.
11 years ago
GPLNIGERIA TIMU YA KWANZA KUTINGA 16 BORA KUTOKA AFRIKA
Ahmed Musa (kulia) akishangilia na wenzake wa Nigeria baada ya kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya Argentina. KIKOSI cha Nigeria kimefanikiwa kuingia hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Dunia 2014 inayoendelea nchini Brazil usiku huu. Nigeria wametinga hatua hiyo wakiwa na pointi 4 mbali na kupoteza mchezo wa leo dhidi ya Argentina kwa mabao 3-2. Wamefuzu katika kundi F wakiwa nafasi ya pili nyuma ya… ...
10 years ago
MichuziSimba yapanga kumpa gari mchezaji bora wa timu hiyo
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, Rais wa Simba Evans Aveva alisema kuwa chini ya uongozi wake wameanzisha tuzo hizo kwa wachezaji wa Simba ili kuibua morali ya wachezaji na kuthamini mchango wao na hiyo imekuja baada ya klabu hiyo ya wekundu wa Msimbazi kuingia mkataba wa miaka mitano na Kampuni ya EAG ambao watakuwa na jukumu la...
10 years ago
Michuzi10 May
DRFA YACHEKELEA TIMU ZAKE KUMALIZA TATU BORA LIGI KUU
Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam kimeonesha furaha yake baada ya timu tatu zilizo katika himaya yake, kumaliza katika nafasi za juu kwenye ligi kuu Tanzania bara iliyomalizika jumamosi mei 9,2015.
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
Kamati ya utendaji ya DRFA chini ya mwenyekiti wake Almas Kasongo,imesema ni jambo la kufurahisha kuona mkoa wa Dar es salaam unafanya vizuri kisoka na kuwa mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.
Timu hizo zimepongezwa kutokana matayarisho waliyoyafanya tangu kuanza kwa msimu,ambapo mabenchi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
11-May-2025 in Tanzania