NIGERIA TIMU YA KWANZA KUTINGA 16 BORA KUTOKA AFRIKA
Ahmed Musa (kulia) akishangilia na wenzake wa Nigeria baada ya kuifungia timu yake bao la pili dhidi ya Argentina. KIKOSI cha Nigeria kimefanikiwa kuingia hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Dunia 2014 inayoendelea nchini Brazil usiku huu. Nigeria wametinga hatua hiyo wakiwa na pointi 4 mbali na kupoteza mchezo wa leo dhidi ya Argentina kwa mabao 3-2. Wamefuzu katika kundi F wakiwa nafasi ya pili nyuma ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
FIFA:Algeria ni timu bora Afrika
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Taifa Stars kukutana na timu bora Afrika
10 years ago
Bongo524 Feb
Damian Soul: Ntakuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Grammy (Audio)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pCnj1SuHrlrG9ZySt2hJla*hucoCtmdQx6mmAvbMdXYBCu*58iePdNYsBmrgflOizksOkfFxCV6hEr7uiaHJSklMVeH4Vc2M/diamond1.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO
9 years ago
Bongo520 Oct
Sugua Gaga ya Shaa yawa video ya muziki ya kwanza kutoka Afrika Mashariki kufikisha views milioni 20 kwenye Youtube
10 years ago
Vijimambo07 Jan
DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA
![](http://api.ning.com/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Barua kutoka Afrika: Jumbe za WhatsApp kwa akinamama wa Nigeria zimekuwa kero
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s72-c/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s640/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SQu7c010ss/VacKv6BcWRI/AAAAAAAASOI/XjXfbY2I6bA/s640/E86A6182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4G3w7bUcYnY/VacKzudlBMI/AAAAAAAASOY/eyi3ovNTFmg/s640/E86A6203%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RyQ18hEd_XU/VacKBC0LT7I/AAAAAAAASMA/IWhEgOCpm2U/s640/E86A6047%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Orodha ya wachezaji 10 wanaowania Tuzo ya mchezaji bora Afrika (wanaocheza Afrika)
Mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo hiyo anayecheza katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samata.
Siku moja baada ya Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) kutangaza majina ya wachezaji kumi watakaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika, hatimaye wametangaza majina ya wachezaji kumi (10) watakaowania tuzo ya mchezaji bora anayecheza Afrika.
Katika orodha hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania tumefanikiwa kuingiza mchezaji mmoja, Mbwana Ally Samata anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe...