Sugua Gaga ya Shaa yawa video ya muziki ya kwanza kutoka Afrika Mashariki kufikisha views milioni 20 kwenye Youtube
Video ya wimbo wa Shaa, Sugua Gaga imekuwa video ya kwanza ya mwanamuziki kutoka Afrika Mashariki kufikisha views zaidi ya milioni 20 kwenye mtandao wa Youtube. Video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma iliwekwa kwenye mtandao huo March 24, 2014. Hadi Jumanne hii, video hiyo ilikuwa imetazamwa mara 20,311,199. Video ya pili iliyotazamwa zaidi ni ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Nov
P-Square waweka rekodi ya kuwa wasanii wa kwanza wa Afrika kufikisha views milioni 30 Youtube kupitia video ya ‘Personally’
Video ya hit single ya ‘Personally’ imelifanya kundi la mapacha wa Nigeria, P-Square kuweka rekodi ya kuwa wasanii wa kwanza wa Afrika kufikisha views milioni 30 kwenye mtandao wa Youtube. Video hiyo ambayo iliongozwa na kaka yao Jude Engees Okoye na director mkubwa wa Nigeria, Clarence Peters ilipandishwa Youtube June, 2013. Mpaka sasa imefikisha views […]
9 years ago
Bongo526 Aug
P-Square wavunja rekodi tena kwa video yao ‘Personally’ kuwa ya kwanza Afrika kufikisha views M50 Youtube
Kundi la P-Square kutoka Nigeria linaendelea kuvunja rekodi waliyoiweka wenyewe kupitia video ya hit single yao ‘Personally’. Rekodi mpya ilivyowekwa na Peter na Paul Okoye wa P-Square, wamekuwa wasanii wa kwanza kutoka Afrika kufikisha views milioni 50 kwenye mtandao wa Youtube kupitia video ya ‘Personally’, . November 2014, P-Square waliweka rekodi kwa mara ya kwanza […]
10 years ago
Bongo506 Sep
‘Sugua Gaga’ yaipiku ‘Number 1 remix’ kwa kupata views nyingi Youtube ndani ya miezi mitano
Hadi mwishoni mwa mwezi uliopita, video ya remix ya hit single ya Diamond Platnumz, ‘Number One’ aliyomshirikisha staa wa Nigeria, Davido ilikuwa ni video ya kwanza kutoka kwa msanii wa Tanzania kupata views nyingi zaidi ndani ya miezi chini ya sita. Hata hivyo rekodi hiyo sasa imevunjwa na video ya Shaa, Sugua Gaga, thanks kwa […]
9 years ago
Bongo530 Oct
‘Hello’ ya Adele yawa video ya pili kuwahi kufikisha views milioni 100 ndani ya siku 5
![Adele hello](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Adele-hello-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo507 Sep
Rekodi mpya ya Youtube yafikiwa, huyu ni mtu wa kwanza kufikisha views bilioni 10 za video zake!
PewDiePie kwa wale ambao hawamfahamu ndio mtu mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Youtube. Hadi sasa PewDiePie ana zaidi ya subscribers milioni 39. Weekend hii mtu huyo alifikisha views bilioni 10 za video zake zote kwa pamoja, kitu ambacho kimevunja rekodi ya mtandao wa Youtube kwakuwa imevuka kaunta yake (kikomo cha views). Hii si […]
10 years ago
Bongo519 Jan
Shaa asema 2015 ataendelea kufanya muziki kama ‘Sugua Gaga’ baada ya wimbo huo kumpa mafanikio
Mwimbaji Shaa amesema kuwa baada ya ‘Sugua Gaga’ kufanikiwa kumtambulisha kimataifa mwaka jana (2014), ana mpango wa kuendelea kufanya nyimbo za aina hiyo mwaka huu. Shaa ambaye video ya Sugua Gaga ilifanikiwa kuwa video ya msanii wa Tanzania iliyotazamwa zaidi mwaka jana kwenye mtandao wa Youtube, amekiri kuwa hakutarajia mafanikio hayo wakati anautoa wimbo huo. […]
9 years ago
Bongo509 Oct
Wiz Khalifa awa msanii wa kwanza wa Hip Hop kufikisha views bilioni 1 Youtube, ni kupitia ‘See You Again’
Video ya rapper Wiz Khalifa ‘See You Again’ imemfanya kuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kufikisjha views bilioni 1 kwenye mtandao wa Youtube. Mbali na kutazamwa mara bilioni 1, lakini ‘See You Again’ pia inakuwa ni video ya 10 katika video zilizotazamwa zaidi Youtube. Video zinazoongoza Top 10 ya video zilizotazamwa zaidi kwenye mtandao […]
9 years ago
Bongo526 Oct
Adele avunja rekodi ya Youtube kwa wimbo wake mpya ‘Hello’ kupata views milioni 25 siku ya kwanza
Adele, Mwimbaji kutoka Uingereza amerudi kwa kishindo baada ya kuweka rekodi mpya ya Youtube kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’ uliotoka Ijumaa Oct.23. Ndani ya saa 24 toka video ya wimbo huo iwekwe kwenye mtandao wa Youtube imetazamwa mara milioni 25, na kuvunja rekodi iliyowekwa na Taylor Swift na Kendrick Lamar ambao collabo yao ‘Bad Blood’ […]
10 years ago
Bongo505 Dec
Video ya PSY ‘Gangnam Style’ yavunja kikomo cha ‘video counter’ ya views za Youtube
Video ya Mkorea PSY ‘Gangnam Style’ iliyotoka 2012 ilivunja rekodi kwa kuwa video iliyotazamwa kuliko zote (muda wote) kwenye mtandao wa Youtube, lakini sasa imevunja kiwango cha mwisho cha ‘video counter’ ya Youtube. Youtube wamesema kuwa video hiyo imetazamwa zaidi ya mara bilioni 2.5 mpaka Dec 4, 2014, hivyo wamelazimika kuongeze namba kwenye ‘video counter’ […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania