Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu zitakazokutana 16 bora Uefa

Droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya imefanyika ambapo Manchester City imepangwa kumenyana na Barcelona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora

2F3824FE00000578-3353037-image-a-25_1449700421460

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.

Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;

GROUP A;

Real Madrid

Paris Saint-German

GROUP B;

Wolfsburg

PSV Eindhoven

GROUP C;

Atletico Madrid

Benfica

GROUP D;

Manchester City

Juventus

GROUP E;

Barcelona

Roma

GROUP F;

Bayern Munich

Arsenal

GROUP G;

Chelsea

Dynamo Kyiv

GROUP H;

 

11 years ago

GPL

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa

Kikosi bora cha wachezaji kumi na moja kilichocheza hatua ya makundi ya michuno ya klabu bingwa ulaya kimetangazwa na Uefa.

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.

2F37676500000578-0-image-a-46_1449694670245

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...

 

10 years ago

Africanjam.Com

KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015


Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kutojumuishwa katika timu ya taifa ya Uholanzi, Van Gal naye amtoa kikosini Depay kwenye mchezo wa UEFA

Winga wa Manchester United, Memphis Depay

Winga wa Manchester United, Memphis Depay.

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Winga wa klabu ya Manchester United, Mholanzi Memphis Depay amekuwa na wakati mgumu katika kipindi hiki cha karibuni kutokana na kudaiwa kushuka kiwango jambo lililomfanya kocha wake Louis Van Gaal kuwa akimweka benchi na nafasi yake ikichukuliwa na kijana mwenzake, Mfaransa Antony Martial.

Kama hilo halitoshi jana nchini Uholanzi yametangazwa majina ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa

IMG_20151214_145227

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;

Gent – Wolfsburg

AS Roma – Real Madrid

Paris Saint-German – Chelsea

Arsenal – Barcelona

Juventus – Bayern Munich

PSV – Atletico Madrid

Benfica – Zenit

Dynamo Kyiv – Manchester City

Baada ya kufanyika kwa...

 

11 years ago

GPL

TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI

1. Germany (+1) 2. Argentina (+3) 3. Netherlands (+12) 4. Colombia (+4) 5. Belgium (+6) 6. Uruguay (+1) 7. Brazil (-4) 8. Spain (-7) 9. Switzerland (-3) 10. France (+7) 11. Portugal (-7) 12. Chile (+2) 13. Greece (-1) 14. Italy (-5) 15. USA (-2) 16. Costa Rica (+12) 17. Croatia (+1) 18. Mexico (+2) 19. Bosnia and Hercegovina (+2) 20. England (-10) ...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Algeria ni timu bora Afrika

Algeria imesalia katika nafasi ya kwanza katika orodha mpya ya timu bora barani Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani