Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa

Kikosi bora cha wachezaji kumi na moja kilichocheza hatua ya makundi ya michuno ya klabu bingwa ulaya kimetangazwa na Uefa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

KIKOSI BORA CHA UEFA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU 2015


Goal-keepers: Marc-Andre ter Stegen (Barcelona), Gianluigi Buffon (Juventus)Defenders: Branislav Ivanovic (Chelsea), Gerard Pique (Barcelona), Javier Mascherano (Barcelona), Giorgio Chiellini (Juventus), Jordi Alba (Barcelona)
Mid-fields: Ivan Rakitic (Barcelona), Sergio Busquets (Barcelona), Andres Iniesta (Barcelona), Claudio Marchisio (Juventus), Toni Kroos (Real Madrid),Andrea Pirlo (Juventus)Strikers:Luis Suarez (Barcelona), Alvaro Morata (Juventus), Neymar (Barcelona), Cristiano Ronaldo...

 

11 years ago

Mwananchi

Zidane, Ronaldo bado wamo

Wakongwe wa soka, Zinedine Zidane na Ronaldo kwa mara nyingine tena wamewakusanya wachezaji nyota mbalimbali wa zamani na kucheza mechi kwa ajili ya kukusanya fedha kusaidia maskini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Klopp akipigia mahesabu kikosi chake kufuzu kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA 2016!

klo

Klopp..

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amesema ana wakati mgumu kuhakikisha anaipeleka timu yake ya Liverpool kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA baada ya kuiangushia kichapo cha mabao 4-1, timu ya Manchester City.

Kwa mujibu Chanzo cha mtandao wa Espnfc.com  Kocha Klopp amefunguka juu ya kikosi chake  hicho kilichong’ara kwenye mchezo huo wa mwishoni mwa wiki   ambapo ameeleza atahakikisha kila mchezo wanaocheza wanapata ushindi ili wazidi kujitengenezea wakati...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

BBCSwahili

Timu zitakazokutana 16 bora Uefa

Droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya imefanyika ambapo Manchester City imepangwa kumenyana na Barcelona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikosi bora cha Dunia

Shirikisho la soka dunia Fifa limetangaza kikosi cha wachezaji bora wa dunia .

 

10 years ago

Mwananchi

Ronaldo mchezaji bora wa Ulaya

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa kuwapiku nyota wa Bayern Munich, Manuel Neuer na Arjen Robben.

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.

2F37676500000578-0-image-a-46_1449694670245

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani