Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zidane, Ronaldo bado wamo

Wakongwe wa soka, Zinedine Zidane na Ronaldo kwa mara nyingine tena wamewakusanya wachezaji nyota mbalimbali wa zamani na kucheza mechi kwa ajili ya kukusanya fedha kusaidia maskini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa

Kikosi bora cha wachezaji kumi na moja kilichocheza hatua ya makundi ya michuno ya klabu bingwa ulaya kimetangazwa na Uefa.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room …

Real Madrid ilitangaza kumfuta kazi kocha Rafael Benitez na nafasi yake kuchukuliwa na mkongwe Zinedine Zidane, kwenye hii post hapa nimekuwekea video ya jinsi Zidane alivyowasili katika vyumba vya kubadilishia nguo vya Wachezaji wa Real Madrid na kukutana na wachezaji wake kwa siku ya kwanza kama kocha. Hii video hapa chini ni ya Zidane akiwa uwanjani kwenye siku ya kwanza […]

The post Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room … appeared first...

 

11 years ago

GPL

JENNIFER LOPEZ BADO WAMO, ATINGA JUKWAANI NA ‘KINGUO TATA’

Mwanamuziki JLO akifanya vitu vyake stejini. Kulia akiwa na dansa wake. ...Msanii huyo mbali na miaka 44 aliyonayo lakini aligonga shoo ya nguvu akiwa na kivazi chake kilichoacha baadhi ya maungo yake nje. STAA wa muziki nchini Marekani, Jennifer Lynn Lopez (44) amedhihirisha kuwa bado wamo baada ya kutinga jukwaani akiwa na 'kivazi tata' na kuangusha bonge la shoo. JLO alitupia kivazi hicho pamoja na… ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 07.03.2020: Zidane, De Bruyne, Sterling, Skriniar, Zidane, Cantwell, Matic

Juventus iko tayari kumpatia Mkufunzi wa Real Madrid Zinedine Zidane mkataba wa £7m ili kumvuta mchezaji wake wa zamani kuchukua uongozi katika klabu hiyo mwisho wa msimu huu. (Mail)

 

11 years ago

Mwananchi

Ronaldo bado hali mbaya

Cristiano Ronaldo amezua tena wasiwasi kwa mashabiki wa Ureno baada ya jana asubuhi kuonekana akitoka katika hoteli akiwa na barafu katika goti lake la kushoto huku wakijiandaa na mchezo mgumu wa kwanza dhidi ya Ujerumani.

 

11 years ago

Mwananchi

Sura za kina Ronaldo bado zinapiga pesa

Soka ni dini Brazil. Hata ukiachana na soka bado utaendelea kupiga pesa kama kawaida.

 

10 years ago

Mwananchi

Yaya katika kikosi cha Zidane

Nyota wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane ametaja kikosi chake bora kinachotokana na nyota wanaocheza soka hivi sasa na kumjumuisha mchezaji mmoja kutoka Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Madrid Kazi kwa bidii –Zidane.

Kocha mkuu wa mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane, amewataka Wachezaji kuwa na nia moja na kufanya kazi kwa bidii.

 

9 years ago

Mtanzania

Zidane amkingia kifua Benzema Ufaransa

000_119461254-1MADRID, HISPANIA

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane, amekitaka Chama cha soka nchini humo (FFF), kulitupilia mbali suala la Karim Benzema la kashfa ya kumiliki mkanda wa ngono.

Chama hicho kwa kushirikiana na waziri wa michezo nchini humo, walisema wanaendelea na uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli mchezaji huyo anahusika katika vitendo hivyo na kama anahusika anatakiwa kufungiwa maisha kuitumikia timu hiyo ya taifa.

Ufaransa watakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani