Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 07.03.2020: Zidane, De Bruyne, Sterling, Skriniar, Zidane, Cantwell, Matic

Juventus iko tayari kumpatia Mkufunzi wa Real Madrid Zinedine Zidane mkataba wa £7m ili kumvuta mchezaji wake wa zamani kuchukua uongozi katika klabu hiyo mwisho wa msimu huu. (Mail)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 08.03.2020: Aguero, Henderson, Ter Stegen, Skriniar, Abraham, Matic, Stones

Manchester City wameridhia kumruhusu mshambuliaji wa Argentina Sergio Aguero, 31, kuondoka klabu hiyo msimu wa joto ikiwa watashindwa kubatilisha marufuku ya Uefa dhidi yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.03.2020: Bellingham, Kane, Mourinho, Pochettino, Zidane, Sanchez, Rakitic

Tottenham italazimika kufanya kila liwezekanalo wasimpoteze mshambuliaji wao Harry Kane, 26, msimu wa joto ikiwa watakosa kufuzu kwa Champions League msimu ujao. (Telegraph)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 16.03.2020: Ighalo, Van de Beek, Ronaldo, De Bruyne, Sterling, Kane

Mshambuliaji wa Manchester United na Nigeria Odion Ighalo, 30, ambaye yuko klabu hiyo kwa mkopo kutoka Shanghai Shenhua, anajianda kupunguziwa mshahara hadi £6m ili asalie katika ligi ya primia. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 21.03.2020: Matic, Zaha, Willian, Soumare, Boga, Pjanic, Alaba

Ligi ya Primia kwa mara nyingine tena inachunguza jinsi ya kucheza michoze ndani ya nyumba wakati huu wa mzozo wa coronavirus ili kukamilisha msimu wa soka . (Independent)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 22.02.2020: Jota, Silva, Hodgson, Onana, Allegri, Sterling

Manchester United huenda ikamsajili mshambuliaji wa Wolves na Ureno Diogo Jota, 23. (Calciomercato) msimu ujao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 23.03.2020: Jovic, Laporte, Skriniar, Koulibaly, Griezmann, Ndicka

Barcelona wana nia ya kumsajili beki wa Manchester City na Ufaransa Aymeric Laporte, 25, katika majira ya kiangazi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 21.02.2020: Skriniar, Tah, Alonso, Klopp, Hodgson, Lallana

Klabu ya Real Madrid wanamfuatilia kiungo wa Rennes na Ufaransa Eduardo Camavinga, 17.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 03.05.2020: De Bruyne, Sanchez, Coutinho, Jovic, Suarez, Lingard

Kiungo wa kati wa Ubelgiji Kevin De Bruyne , 28 amesema kwamba huenda akaondoka Manchester City iwapo marufuku yao itaidhinishwa.(HLN, via Manchester Evening News)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 12.04.2020: Kane, Martinez, Sancho, Upamecano, Kamara, Matic

Uefa inatarajia kukamilisha msimu huu wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Europa mwezi Agosti kwa kutumia kipindi cha wiki tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani