Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 08.03.2020: Aguero, Henderson, Ter Stegen, Skriniar, Abraham, Matic, Stones

Manchester City wameridhia kumruhusu mshambuliaji wa Argentina Sergio Aguero, 31, kuondoka klabu hiyo msimu wa joto ikiwa watashindwa kubatilisha marufuku ya Uefa dhidi yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 07.03.2020: Zidane, De Bruyne, Sterling, Skriniar, Zidane, Cantwell, Matic

Juventus iko tayari kumpatia Mkufunzi wa Real Madrid Zinedine Zidane mkataba wa £7m ili kumvuta mchezaji wake wa zamani kuchukua uongozi katika klabu hiyo mwisho wa msimu huu. (Mail)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 12.04.2020: Kane, Martinez, Sancho, Upamecano, Kamara, Matic

Uefa inatarajia kukamilisha msimu huu wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Europa mwezi Agosti kwa kutumia kipindi cha wiki tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 21.06.2020:Jimenez, Mane, Walker, Cavani, Bailey, Fati, Henderson

Juventus imeingia kwenye kinyang'anyiro sambamba na Manchaster United na Real Madrid wakitaka kupata saini ya mshambuliaji wa Mexico anayekipiga Wolves ,Raul Jimenez,29.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 24.05.2020: Pogba, Sancho, Aguero, Willian, Koulibaly, Rabiot

Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola ameanza mazungumzo na Juventus kuhusu uhamisho, lakini Real Madrid na Paris St-Germain pia wanamtolea macho kiungo huyo wa Machester United

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 28.03.2020: Neuer, Stones, Bonucci, Sancho, Godin

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, anafaa kuchukua fursa na kujiunga na Manchester United, kulingana na mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo Dimitar Berbatov. (Sun)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 23.03.2020: Jovic, Laporte, Skriniar, Koulibaly, Griezmann, Ndicka

Barcelona wana nia ya kumsajili beki wa Manchester City na Ufaransa Aymeric Laporte, 25, katika majira ya kiangazi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 21.02.2020: Skriniar, Tah, Alonso, Klopp, Hodgson, Lallana

Klabu ya Real Madrid wanamfuatilia kiungo wa Rennes na Ufaransa Eduardo Camavinga, 17.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 02.05.2020: Jimenez, Werner, Dembele, Henderson, Willian

Mshambuliaji wa Wolves na Mexico Raul Jimenez, mwenye umri wa miaka 28, amesema kuwa itakuwa vigumu kukataa ofa kutoka kwa klabu za Uhispania Real Madrid na Barcelona. (Express)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 26.05.2020: Allan, Todibo, Henderson, Coutinho, Icardi

Everton imewasilisha ombi la £40m kumsaini kiungo wa kati wa Napoli, Allan, 29, lakini klabu hiyo inataka dau la £60m kumuuza raia huyo wa Brazil. (Il Mattino - in Italian)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani