Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mimea na si watu waliojaza viti kwenye ukumbi wa burudani

Mimea yaburudishwa kwenye tamasha la muziki wa Opera

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wauawa katika klabu ya burudani

Watu watano wameuawa kwenye shambulizi la kigaidi kwenye klabu ya burudani katika mji mkuu wa Mali Bamako.

 

10 years ago

GPL

UFUKWE WA COCO BEACH DAR WAFURIKA WATU BURUDANI ZA X-MAS

Mwanamuziki Linex akikamua na kushangiliwa na mashabiki wake. Umati wa watu ulifurika katika viwanja hivyo vya Coco Beach.…

 

9 years ago

MillardAyo

Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha)

Kwenye watu wazito walioamua kuingia kwenye siasa, mfanyabiashara Yusuph Manji pamoja na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ambaye ni Diwani wa kata ya Kilungule nao waliamua kuthubutu upande huu wa pili wa siasa. Leo December 31 2015 Diwani Manji alikutana na watu wake wa Mbagala kwa ajili ya kuwashukuru kabla haujaisha mwaka 2015 […]

The post Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge

Nairobi, Kenya. Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest apanga kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 Oct 1

October 31, rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest amepania kuweka historia ya kwanza jijini Johannesburg. Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Refiloe Maele atafanya show yake kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome unaochukua watu 20,000 kuthibitisha kuwa msanii wa nyumbani anaweza kuujaza. Lengo ni kuujaza ukumbi huo kuonesha uzalendo kwa kile anachodai kuwa wasouth hawaviungi […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo — August 28)

Awamu nyingine ya Round Up iko hapa. Kuna story ya Diva The Bawse na uamuzi wake wa kumfungulia mashtaka Diamond kwa kumdhalilisha, story ya Zari kurejesha umbo lake kama zamani baada ya kujifungua na pia Masongange ana mpya gani leo? Tazama hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Shangwe za Coke Studio zaendelea kuleta burudani kwenye jamii

COKE STUDIO PICHA 3

Mwanamuziki Fid Q akitoa burudani katika moja ya tamasha  la Coke Studio.

PICHA COKE 1

Mwanamuziki Ali Kiba na Victoria Kimani wakiwa katika onyesho la Coke Studio.

COKE STUDIO PICHA 5

Wasanii wa muziki wakitoa burudani katika moja ya tamasha la Coke Studio mkoani Mwanza.

COKE STUDIO PICHA 2

Wanafunzi kuanzia shule za msingi nchini hadi vyuo vikuu wameshiriki kuonyesha vipaji vyao katika msimu huu wa Coke Studio  kama wanavyoonekana  katika moja ya tamasha la Coke Studio.

-Wanafunzi na vijana mitaani waendelea kupata burudani

Onyesho la...

 

10 years ago

Vijimambo

Feza Feat.Chege kwenye headlines za burudani na hii mpya ‘Sanuka’…(Audio)


Baada ya ukimya aliyekuwa mshiriki wa Big Brother, Feza Kessy ameachia single yake nyingine mpya inayoitwa ‘Sanuka’ ndani akimshirikisha Chege.
Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Sheddy Clever.
Usikilize hapa mtu wangu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani