UFUKWE WA COCO BEACH DAR WAFURIKA WATU BURUDANI ZA X-MAS
Mwanamuziki Linex akikamua na kushangiliwa na mashabiki wake. Umati wa watu ulifurika katika viwanja hivyo vya Coco Beach.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xpoy3rjWfyQ/Vap8tvdwQhI/AAAAAAAAtWg/fkdOtMpxroQ/s72-c/IMG-20150718-WA0017.jpg)
Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xpoy3rjWfyQ/Vap8tvdwQhI/AAAAAAAAtWg/fkdOtMpxroQ/s640/IMG-20150718-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K50T5vJFsI8/Vap8x_uJrqI/AAAAAAAAtWo/YPMnjM1_UUE/s640/IMG-20150718-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5naOI7_jG8/Vap82E15saI/AAAAAAAAtWw/OHpUL_vgubU/s640/IMG-20150718-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-46qsCQBwD3Q/Vap82-kIG_I/AAAAAAAAtW4/KZjJf6IIc6U/s640/IMG-20150718-WA0015.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFH4yg9OaUKfxR4JY9-cZBWb0gfr21krTvmYGshaYYSzoVA-YbvvMYTkko10XX9Mk0tEFgmozRZkWc9D2nGlg3a/1.jpg?width=650)
UMATI WAFURIKA TAMASHA LA COCA COLA HUKO COCO BEACH DAR
 Msanii Vannesa Mdee au Vee Money akioneha ujuzi wake stejini. Joh Makini akiwapagawisha mashabiki katika viwanja vya Coco Beach.   Mashabiki wakionyesha kufurahishwa na burudani zilizokuwa zikitolewa na baadhi a…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s72-c/IMG_1511.jpg)
BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s1600/IMG_1511.jpg)
MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zqLCj82mPHw/VGhTp-wN13I/AAAAAAABFbk/TjorHg6pPII/s1600/IMG_1439.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K5zLRw7wdGU/VGhTpUKAAdI/AAAAAAABFbg/VqFk6TAxP8U/s1600/IMG_1451.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eUG6_-zkZ1w/VR5VazHewII/AAAAAAAHPE8/vlgvgYecouM/s72-c/unnamed.jpg)
Moto wa burudani kuwaka ufukweni Coco Beach Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-eUG6_-zkZ1w/VR5VazHewII/AAAAAAAHPE8/vlgvgYecouM/s1600/unnamed.jpg)
Akiongea juu ya tamasha hili kubwa ambalo hivi sasa limeanza kuwa gumzo ya jiji,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu alisema mipango yote kuhusiana na tamasha hilo imekamilika kinachongojewa ni kuwasha moto wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci3SgOfg*sph7CW7GhMhp-5nZW30ADCtCN2GoBeqPzBgxeMsxlL96d70tmRPk87rvxKWKbpNtkdZhtWs95coOrCk/20151.jpg?width=650)
MOTO WA BURUDANI KUWAKA COCO BEACH MWAKA MPYA
Wapenzi wa burudani ya muziki wa kizazi kipya watapata burudani ya fungua mwaka kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini katika tamasha la wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam.Baadhi ya magwiji hao ni Profesa J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi. Tamasha hili litakalokutanisha magwiji wa bongo fleva ambalo limeanza kuwa gumzo la ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s72-c/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s1600/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
11 years ago
GPLWATOTO WAJIACHIA UFUKWE WA COCO JIJINI DAR
Wanafunzi wa shule moja ya Nursery jijini Dar wakijiachia kwenye Ufukwe wa Coco kama walivyonaswa na kamera yetu. Taswira za ufukwe wa Coco.
(PICHA NA…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zIs5WAlJRx8/VKPSanKh9HI/AAAAAAAG6sk/sOmg1uCV3tc/s72-c/unnamed.png)
Moto wa burudani kuwaka Coco beach mwaka mpya kesho mchana kweupee!
![](http://3.bp.blogspot.com/-zIs5WAlJRx8/VKPSanKh9HI/AAAAAAAG6sk/sOmg1uCV3tc/s1600/unnamed.png)
Tamasha hili litakalokutanisha magwiji wa bongo fleva ambalo limeanza kuwa gumzo la jiji kutokana na kuwa na burudani za aina mbalimbali kwa ajili ya kukonga nyoyo...
10 years ago
GPL27 Dec
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10