Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UFUKWE WA COCO BEACH DAR WAFURIKA WATU BURUDANI ZA X-MAS

Mwanamuziki Linex akikamua na kushangiliwa na mashabiki wake. Umati wa watu ulifurika katika viwanja hivyo vya Coco Beach.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Dar wakiisherehea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo

 Sehemu ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya leo, ikiwa ni sehemu ya kuisherehekea sikumbuki ya Eid El Fitr.  Wengi hupenda kwenda sehemu ya namna hii kwa ajili ya kupunga upepo mwanana wa Bahari. 

 

11 years ago

GPL

UMATI WAFURIKA TAMASHA LA COCA COLA HUKO COCO BEACH DAR

  Msanii Vannesa Mdee au Vee Money akioneha ujuzi wake stejini. Joh Makini akiwapagawisha mashabiki katika viwanja vya Coco Beach.    Mashabiki wakionyesha kufurahishwa na burudani zilizokuwa zikitolewa na baadhi a…

 

10 years ago

Michuzi

BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR


MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.

 

10 years ago

Michuzi

Moto wa burudani kuwaka ufukweni Coco Beach Pasaka

Katika kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kwa furaha,wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake wataweza kupata burudani za aina mbalimbali katika tamasha kubwa la Pasaka litakalofanyika katika ufukwe wa maraha wa Coco beach chini ya maandalizi ya Vodacom Tanzania.
Akiongea juu ya tamasha hili kubwa ambalo hivi sasa limeanza kuwa gumzo ya jiji,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu alisema mipango yote kuhusiana na tamasha hilo imekamilika kinachongojewa ni kuwasha moto wa...

 

10 years ago

GPL

MOTO WA BURUDANI KUWAKA COCO BEACH MWAKA MPYA

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya  watapata burudani ya fungua mwaka kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini katika tamasha la  wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam.Baadhi ya magwiji hao ni Profesa J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi. Tamasha hili  litakalokutanisha magwiji wa bongo fleva ambalo limeanza kuwa gumzo la ...

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAJIACHIA UFUKWE WA COCO JIJINI DAR

Wanafunzi wa shule moja ya Nursery jijini Dar wakijiachia kwenye Ufukwe wa Coco kama walivyonaswa na kamera yetu. Taswira za ufukwe wa Coco.
(PICHA NA…

 

10 years ago

Michuzi

Moto wa burudani kuwaka Coco beach mwaka mpya kesho mchana kweupee!

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya  watapata burudani ya fungua mwaka kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini katika tamasha la  wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam.Baadhi ya magwiji hao ni Profesa J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi.
Tamasha hili  litakalokutanisha magwiji wa bongo fleva ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za aina mbalimbali kwa ajili ya kukonga nyoyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani