Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha)

Kwenye watu wazito walioamua kuingia kwenye siasa, mfanyabiashara Yusuph Manji pamoja na Mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ambaye ni Diwani wa kata ya Kilungule nao waliamua kuthubutu upande huu wa pili wa siasa. Leo December 31 2015 Diwani Manji alikutana na watu wake wa Mbagala kwa ajili ya kuwashukuru kabla haujaisha mwaka 2015 […]

The post Diwani Yusuph Manji alivyowadondoshea burudani watu wake Mbagala… (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Mashabiki Msikate Tamaa – Yusuph Manji

Mwenyekiti wa klabu ya Dar Young Africans, Yanga, Bw.Yusuph Manji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kutosononeka sana kwa kipigo cha mabao 4-0 yaliyosababisha kutolewa kwenye michuano ya kimataifa Na MC Algeria.

Bw. Manji akiongea na mtandao wa Goal, amesema, anachotaka ni kuhakikisha timu hiyo inapambana kutafuta nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani kwa kubeba taji la ligi kuu ya Vodacom au ubingwa wa kombe la FA.

“Niliongea na timu yetu kabla ya kwenda Algeria na...

 

9 years ago

Michuzi

YUSUPH MANJI AIBUKA KIDEDEA TUZO ZA VIONGOZI WA BIASHARA AFRIKA


MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (PICHANI) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.
Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika,  Aliko Dangote. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na uongozi Quality Group, ilisema  tuzo hiyo ilimshtua 'bosi' wao kwani hakutarajia na kwamba itasaidia kuvutia wawekezaji pamoja na kuongeza idadi ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26

Mwaka 2015 unaisha huku staa wa Bongofleva akiandika rekodi nzuri na ya nguvu kabisa, ni rekodi ya kurudi kwenye game na kuachia ngoma nyingi ambazo zote zimepokelewa kwa mikono miwili. December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam itashuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye […]

The post Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Yusuph Mlela na Esha Buheti Wakiwa Nchini Marekani

Hizi ni baadhi ya picha za waigizaji Yusuph Mlela na Esha Buheti wakiwa nchini Marekani ambako wamekwenda kufanya kazi (Filamu) wakiwa chini ya kampuni ya Didas Entertainment ambayo kampuni inajihusisha  maswala ya filamu na burudani kwa ujumla.

Tunawatakia kazi njema.

 

10 years ago

Mwananchi

MZEE YUSUPH: Nasikia raha kuwa na wake wengi

>Unafahamu kama Mzee Yusuph anasikia raha kuwa na wake wengi, huku akihakikisha anawatimizia wote mahitaji yao? Fuatana nami ufahamu mengi zaidi kuhusiana na suala la ndoa kwa nguli huyo wa muziki wa taarabu hasa wenye vionjo vya mahaba.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Nyuma ya Kamera: Yusuph Mlela Akiwa na Asha Boko Wakifanya Yao

Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa wakati wa utengenezaji wa Movie mpya itakayojumuisha mastaa kadhaa wakiwemo, Yusuph Mlela na Asha Boko.

Jina la Movie na itatoka lini? Bado havijawekwa wazi.

Kwauzoefu wako na uelewa wako unadhani movie hii itakuwa ni ya namna gani? Mlela na Asha Boko wamecheza kwenye movie hii wakiwa na mahusiano ya namna gani?

 

10 years ago

CloudsFM

Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni

Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni.

Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.

Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wauawa katika klabu ya burudani

Watu watano wameuawa kwenye shambulizi la kigaidi kwenye klabu ya burudani katika mji mkuu wa Mali Bamako.

 

9 years ago

Michuzi

MEYA MANISPAA YA KINONDONI ANAYEMALIZA MUDA WAKE YUSUPH MWENDA AZINDUA UZIO WA KISASA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A NA KUWAAGA RASMI WANANCHI WA KATA HIYO

 Meya wa Manispaa ya Kinondoni anayemaliza muda wake, Yusuph Mwenda (wa pili kushoto) akifuatilia kwa makini matukio ya sherehe hizo sambamba na watendaji.  Vijana wa timu za Kata hiyo wakichuana katika bonanza la sherehe hizo.Mwimbaji wa nyimbo za mipasho, Isha Mashauzi akitumbuiza katika bonanza la sherehe za uzinduzi wa uzio wa kisasa wa Shule ya Msingi Mikocheni A, Manispaa ya Kinondoni mwishoni mwa wiki.
(PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU)KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani