Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26

Mwaka 2015 unaisha huku staa wa Bongofleva akiandika rekodi nzuri na ya nguvu kabisa, ni rekodi ya kurudi kwenye game na kuachia ngoma nyingi ambazo zote zimepokelewa kwa mikono miwili. December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam itashuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye […]

The post Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015…

December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam wakazi wa 88.5  walishuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye ujio wake mzito wa 2015. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika show hiyo zitazame hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..

Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !! Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi […]

The post Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam.. appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.

MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)

Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.

MAIN SHOW 31ST-2893 (800x533)

“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.

“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”

Jionee picha zaidi.

MAIN SHOW 31ST-3441 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2899 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2912 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2960 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-2968 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3155 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3256 (800x533)

MAIN SHOW 31ST-3277 (800x533)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba azunguka kwenye daladala Dar kukutana na mashabiki wake (Picha)

Mshindi wa tuzo tano za KTMA 2015, Alikiba amewapa mashabiki wake nafasi ya kuonana naye baada ya kuamua kutumia usafiri wa daladala kuzunguka jijini la Dar es Salaam. Alikiba akishuka kwenye basi la Mbagala Muimbaji huyo wa Chekecha alianza safari yake kwa kupanda daladala ya Kariakoo/Mbagala na kutangaza kwa abiria nia yake ya kupanda daladala […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha)

Kwenye taarifa ambazo zimenifikia muda mfupi uliopita iko pia inayohusu ajali iliyotokea leo December 18 2015 maeneo ya Kilolo Iringa… Kwenye ajali hiyo Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa watu 12 wamefariki na wengine 18 kujeruhiwa, mazingira ya ajali yanaonesha lori la mizigo lilipoteza mwelekeo na kuligonga basi hilo. Basi hilo la Kampuni ya New Force lilikuwa […]

The post Kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Iringa December 18… #RIP (Picha) appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad atahadharisha watu wasijekuelewa vibaya wimbo wake ujao ‘Ninae’, amewataja Diamond na Alikiba

Rapper Baghdad amewatahadharisha watu wasije kuuelewa vibaya wimbo wake ujao, ‘Ninae.’ Baghdad na mke wake Rapper huyo ambaye hivi ndoa July 25 mwaka huu na mchumba wake waliyedumu kwa miaka mitatu, ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo umefanyika kwenye studio za Kaburu Records na producer akiwa ni Islam Touches ‘Ninae’ unazungumzia mtu ambaye amepata mpenzi wa […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii !

Mastaa wengi wa bongofleva wamepiga show kwenye area tofauti Xmas hii, nilizoweza kukurekodia ni hizi pia ikiwemo ya msanii kutoka lebo ya Diamond >> Harmonize, nyingine ni ya Diamond mwenyewe Dar live Mbagala Dar es salaam na ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]

The post Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii ! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Alikiba kwenye stage alivyouaga mwaka akisindikizwa na wakina Wema, Jokate

Matukio mengi ya burudani yamezidi kupata headlines mbalimbali hususani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka 2015, hapa nakusogeza karibu tena na msanii Alikiba kwenye stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam Dec 26. Bonyeza Play hapa ushuhudie matukio yote ikiwemo Wema Sepetu na Jokate walivyopandishwa jukwaani. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]

The post Video ya Alikiba kwenye stage alivyouaga mwaka akisindikizwa na wakina Wema, Jokate appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz)

Wiki moja iliyopita December 26 2015 ilikuwa siku ya kumshuhudia King Kiba kwenye stage Escape 1 Dar es Salaam alipoangusha mzigo mzima wa show ya funga mwaka !! Kazi haikuwa ndogo… Alikiba alishambulia kwa uzito wa juu stage ikitawaliwa kwa live show yenye support ya bendi iliyokamilika pamoja na dancers kadhaa. Kazi ya funga mwaka […]

The post Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani