Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz)
Wiki moja iliyopita December 26 2015 ilikuwa siku ya kumshuhudia King Kiba kwenye stage Escape 1 Dar es Salaam alipoangusha mzigo mzima wa show ya funga mwaka !! Kazi haikuwa ndogo… Alikiba alishambulia kwa uzito wa juu stage ikitawaliwa kwa live show yenye support ya bendi iliyokamilika pamoja na dancers kadhaa. Kazi ya funga mwaka […]
The post Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015…
December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam wakazi wa 88.5 walishuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye ujio wake mzito wa 2015. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika show hiyo zitazame hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Video ya Alikiba kwenye stage alivyouaga mwaka akisindikizwa na wakina Wema, Jokate
Matukio mengi ya burudani yamezidi kupata headlines mbalimbali hususani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka 2015, hapa nakusogeza karibu tena na msanii Alikiba kwenye stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam Dec 26. Bonyeza Play hapa ushuhudie matukio yote ikiwemo Wema Sepetu na Jokate walivyopandishwa jukwaani. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa […]
The post Video ya Alikiba kwenye stage alivyouaga mwaka akisindikizwa na wakina Wema, Jokate appeared first on...
9 years ago
Bongo501 Jan
Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya
![MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MAIN-SHOW-31ST-2901-800x533-300x194.jpg)
Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.
Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.
“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.
“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”
Jionee picha zaidi.
9 years ago
Bongo Movies01 Jan
Picha 5 za Shoo ya Funga Mwaka ya king Kiba Machakos, Kenya
Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya.
Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii !
Mastaa wengi wa bongofleva wamepiga show kwenye area tofauti Xmas hii, nilizoweza kukurekodia ni hizi pia ikiwemo ya msanii kutoka lebo ya Diamond >> Harmonize, nyingine ni ya Diamond mwenyewe Dar live Mbagala Dar es salaam na ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]
The post Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii ! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Dec
Alikiba na Vanessa washinda tuzo za Nzumari 2015 Kenya
![ali na vee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ali-na-vee-300x194.jpg)
Tuzo za Nzumari 2015 zimetolewa Ijumaa iliyopita (Dec.11) huko Mombasa, Kenya.
Kutoka Tanzania, Alikiba ameshinda kipengele cha ‘Male Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Ommy Dimpoz, AY, Rich mavoko na Shetta. Vanessa Mdee ameshinda kipengele cha ‘Female Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Lady Jaydee, Shilole, Linah na Shaa.
Nzumari Awards 2015… Classic Edition
Winners as per the votes from the people not as per the management:
Male Artist Mombasa
Sudi Boy 9 votes
Dazlah...
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Alikiba azikonga nyoyo za mashabiki wa Kenya kwenye Koroga Festival
![KOROGA FESTIVAL-0890](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/KOROGA-FESTIVAL-0890-300x194.jpg)
Fresh kutoka kutumbuiza mbele ya mastaa wa Hollywood jijini Los Angeles nchini Marekani kwenye hafla ya Wild Aid, Alikiba weekend iliyoisha alikuwa jijini Nairobi, Kenya kutumbuiza kwenye tamasha la Koroga.
Kiba aliyekuwa na bendi yake alidondosha show kali iliyosifiwa na maelfu ya wapenzi wa muziki huku akiwapa mashabiki wa kike wakipendacho zaidi kwa kuwaonesha kifua chake cha gym.
Wakati akitumbuiza wimbo wake Mwana, Kiba aliichana vest yake nyeusi na kuzionesha abs zake mbele ya umati...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video)
Ni kutoka kwenye tamasha ‘After Skul Bash’ lililoandaliwa na XXL ya CloudsFM December 12 2015 Escape One Mikocheni Dar es salaam ambapo wakali wengi wa bongofleva walitokea kuonyesha uwezo wao kwenye jukwaa bonyeza play kwenye hii video ujionee.. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda […]
The post ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video) appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...