Picha 5 za Shoo ya Funga Mwaka ya king Kiba Machakos, Kenya
Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya.
Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCw4Syfvcr16z34l8r3wPpjwh017EiYHz7bNPL239mGNKNum1P-e7fj40EPatai8Buwo-KM*eOVnrv6QQ1hsI4xZ/wema5.jpg?width=750)
WEMA AFANYA SHOO YA FUNGA MWAKA MATEI LOUNGE DODOMA
10 years ago
GPL01 Jan
9 years ago
Bongo501 Jan
Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya
![MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MAIN-SHOW-31ST-2901-800x533-300x194.jpg)
Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.
Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.
“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.
“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”
Jionee picha zaidi.
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz)
Wiki moja iliyopita December 26 2015 ilikuwa siku ya kumshuhudia King Kiba kwenye stage Escape 1 Dar es Salaam alipoangusha mzigo mzima wa show ya funga mwaka !! Kazi haikuwa ndogo… Alikiba alishambulia kwa uzito wa juu stage ikitawaliwa kwa live show yenye support ya bendi iliyokamilika pamoja na dancers kadhaa. Kazi ya funga mwaka […]
The post Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha)
Christmas ya mwaka 2015 itabakia kuwa na historia kubwa kwenye dunia ya burudani, 88.5 usiku wa Dec 25 wamepokea shangwe za burudani kutoka kwa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye viwanja vya Dar Live, Mbagala Dar es Salaam. Hapa nimekusogezea picha 20 uone jinsi kilivyohappen Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Ni headlines za Diamond Platnumz Dec 25 kwenye show ya Funga Mwaka Dar Live…..(+Picha) appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm51ZJBo3uEor88HfL2V30oDl3y4Gy3LmQryfPaDrbp8BFSDr5TFTHvi6VuNB4s9*pf08vhkvxQeDU2ZqvhY1s-W/matumaini.jpg)
ALI KIBA: NITAFANYA SHOO YA KIMATAIFA TAMASHA LA MATUMAINI
10 years ago
GPLALI KIBA AFUNIKA SHOO YA MWANA DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoCeyFt2W0v3ghHc1PsRc8gkUxv9ftCOkHOtTUZ041h45qujF-PSSi8OweXr63dsjVphmMrMXfT70omJFr8G2I8/afande.jpg?width=650)
HII NI FUNGA MWAKA!
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ali Kiba kupiga shoo ya ‘live’ Sauti za Busara Feb 12
Mwenyekiti wa Bodi wa Busara Promotions, wandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wanahabari Jijini Dar es Salaam, juu ya tamasha la 12 la Sauti za Busara, litakalofanyika, Februari 12 hadi 15, mwaka huu, Ngome Kongwe, Zanzibar. Wengine (kushoto) ni Meneja wa tamasha hilo, Journey Ramadhani. na upande wa kulia ni Mkurugenzi wa tamasha hilo, Yusuf Mahmoud ‘Dj Yusuf, akifuatiwa na msanii wa Bongo...