WEMA AFANYA SHOO YA FUNGA MWAKA MATEI LOUNGE DODOMA
![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCw4Syfvcr16z34l8r3wPpjwh017EiYHz7bNPL239mGNKNum1P-e7fj40EPatai8Buwo-KM*eOVnrv6QQ1hsI4xZ/wema5.jpg?width=750)
Staa wa Bongo, Wema Isaac Sepetu 'Beautiful Onyinye' akiongea na mashabiki wake (hawapo pichani) waliofika katika shoo yake ya funga mwaka usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Matei Lounge Dodoma . Sehemu ya umati wa watu waliojitokeza Ukumbi wa Matei Lounge Dodoma .…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies01 Jan
Picha 5 za Shoo ya Funga Mwaka ya king Kiba Machakos, Kenya
Usiku wa kuamkia leo, mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba aka Balozi wa wanyama alifanya shoo kubwa ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 mjini machakos nchni Kenya.
Akiwa na wacheza shoo wake, 4real Dancers balozi king Kiba alifanya shoo kali ya kihistoria jionee
10 years ago
GPL01 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CiUBFgls2Lo/VHx1pClGyeI/AAAAAAAG0nA/ZwBk1LP_Sxg/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA GARI AKIWEMO MMILIKI WA MATEI LOUNGE
Mnamo tarehe 30/12/2014 majira ya 18:30hrs huko njia panda ya NARCO barabara kuu ya Morogoro – Dodoma Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma gari lenye namba za usajili T. 213 DAR Toyota Mark X, likiendeshwa na HASSAN s/o HUSSEIN, mwenye umri wa miaka 42, mzigua, Mkazi wa Dodoma likiwa na abiria wanne wakitokea Morogoro wakielekea Dodoma liligonga kwa nyuma gari lenye namba za usajili T. 963 BRC Leyland Daf lililokuwa na tela lenye namba T. 708 ASP...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s72-c/RPC%252BMbeya.jpg)
KAMANDA MATEI,AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA STENDI, AZUIA SAFARI KWA BAADHI YA MABASI YA ABIRIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s640/RPC%252BMbeya.jpg)
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za usajili...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMDvWeKAqiI/VH84Uf8z79I/AAAAAAAG1Cs/VbSUZubwR6w/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Misiba ya vijana Matei na Ogunda yatikisa mji wa Dodoma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoCeyFt2W0v3ghHc1PsRc8gkUxv9ftCOkHOtTUZ041h45qujF-PSSi8OweXr63dsjVphmMrMXfT70omJFr8G2I8/afande.jpg?width=650)
HII NI FUNGA MWAKA!
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
Uwoya Anakuja na Filamu ya Funga Mwaka
Mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika filamu za Kibongo, Irene Pancaras Uwoya amesema anafunga mwaka na filamu ya kihostoria.
Amini usiamini Uwoya anakuwa mtayarishaji mkubwa wa filamu aliyetengeneza filamu hiyo m kwa gharama kubwa na kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Afrika Kusini na uturuki inayokwenda kwa jina la Kisoda.
“Najaribu kutoka kimataifa kwa kutengeneza bonge la filamu na yenye wasanii wa kimataifa, naamini itanitoa na kuitoa Tanzania kimasomaso, kwani sikuangalia...
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Funga mwaka ya Jumuiya ya DMV yafana
![IMG_0978 - Copy - Copy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0978-Copy-Copy.jpg)
10 years ago
VijimamboFUNGA MWAKA YA JUMUIYA DMV YAFANA