Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUNGA MWAKA YA JUMUIYA DMV YAFANA

 Aliyekuwa mwakilishi wa Diaspora bunge la katiba Mhe. Kadari Singo akielezea shughuli za bunge hilo na jinsi gani alivyopigana kutetea swala la uraia pacha huku akiwasihi wanaDiaspora kubadili mtizamo wao kwa nchi yao.Mwakilishi wa maswala ya uhamiaji akifafanua sera ya uhamiaji ya Obama kuhusiana na kutoa vibali vya kazi kwa wasiokua na makaratasi kwenye sherehe ya mkesha ya Jumuiya ya Watanzania DMV iliyofanyika Lanham, Maryland Jumamosi Desemba 31, 2014.Mgeni Rasmi Balozi wa African...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Funga mwaka ya Jumuiya ya DMV yafana

 Aliyekuwa mwakilishi wa Diaspora bunge la katiba Mhe. Kadari Singo akielezea shughuli za bunge hilo na jinsi gani alivyopigana kutetea swala la uraia pacha huku akiwasihi wanaDiaspora kubadili mtizamo wao kwa nchi yao. Mwakilishi wa maswala ya uhamiaji Bi. Fatmata Barrier akifafanua sera ya uhamiaji ya Obama kuhusiana na kutoa vibali vya kazi kwa wasiokua na makaratasi kwenye sherehe ya mkesha ya Jumuiya ya Watanzania DMV iliyofanyika Lanham, Maryland Jumamosi Desemba 31, 2014. IMG_0978 - Copy - Copy Mgeni...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE YA FUNGA MWAKA KWA WAFANYAKAZI WA AZANIA BANK YAFANA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank,Charles Singili (katikati) akicheza mpira na wafanyakazi wenzake kwenye sherehe ya kufunga mwaka iliyofanyika hivi karibuni,Kijiji Beach jijini Dar
 Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Azania Bw. Rukwaro Senkoro akizungumza na vyombo vya habari kwenye maadhimisho ya kufunga mwaka Benki ya Azania.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI



 

10 years ago

Vijimambo

WADAU WAANZA KUWASILI SHEREHE YA FUNGA MWAKA DMV SASA WATOTO CHINI YA MIAKA 18 HAWATALIPA KIINGILIO

MWANACHAMA HAI KUPATA VINYWAJI  2 BURE
 Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiwa na Asha Nyang'anyi wakimpa kampani mgeni wao Mhe. Kadari Singo mwakilishi wa Diaspora Bubge la katiba atayezungumuza na Watanzania leo kuhusiana na Bunge hilo na yeye pekee ndieye atakayekuwa na kipindi cha maswali na majibu katika kuhitimisha sherehe ya kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka 2015 itakayofanyikia ukumbi wa Oxford uliopo Lanham kuanzia saa 1 usiku (7pm) leo Desemba 31, 2014.  Rais wa...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

 

10 years ago

Vijimambo

UONGOZI JUMUIYA DMV YAFANYA KIKAO NA KAMATI ZAKE KUJADILI MASWALA MBALIMBALI YANAYOIKABILI JUMUIYA

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV ukifanya kikao na kamati zake mbalimbali ndani ya uongozi wa jumuiya hiyo kujadili maswala ya wanajumuiya wake yakiwemo maswala ya afya, ukusanyaji wa ada za uwanachama ikiwemo kutengeneza vitambulisho maalum vya mwanachama na njia mbadala za kuongeza kipato kwenye Jumuiya ya DMV. Swala lingine lililojadiliwa ni kuangalia na kuwatambua Watanzania wenye nafasi kwenye jamii kama vile Madaktari, Manesi, wanasheria na wengineo ambao wapo tayari kushirikiana...

 

5 years ago

Michuzi

PROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi akiwambulisha vingozi wa Jumuiya ya waTanzania DMV, viongozi wa Jumuiya za dini na taasisi zisizokua za kiserikali zinazomilikiwa na waTanzania DMV kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi na baadae kumkaribisha  kuongea nao. Picha na Vijimambo BlogWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi akiongea na vingozi...

 

11 years ago

GPL

HII NI FUNGA MWAKA!

Stori: Brighton Masalu na Issa Mnally
AISEEE! Yameshuhudiwa matukio mengi ya kamatakamata ya dadapoa kwa mwaka 2013 lakini hili ni funga mwaka.
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kwa kolabo na polisi, safari hii imefumua madanguro mengi yaliyojificha vichochoroni na kwenye nyumba za kulala wageni na kuibuka na mambo mengi ya kushangaza. Katika oparesheni hiyo maalum iliyofanywa na OFM na polisi wa Kituo cha...

 

11 years ago

Michuzi

MAULIDI MUBARAK YAFANA DMV


Keki ya Maulid iliyofanyika DMV siku ya Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya Park ya Wheaton, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV wakiwemo marafiki zao.
Kama kawaida maulid iliaanza kwa sala ya Magharib Watanzania DMV wa dini ya Kislam wakijumuika pamoja kuadhimisha siku ya Maulid Mubarak iliyofanyika Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya park vilivyopo Wheaton, Maryland. Watanzania wa DMV wakijumuika pamoja kwenye Maulid iliyofanyika Wheaton, Maryland siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani