Uwoya Anakuja na Filamu ya Funga Mwaka
Mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika filamu za Kibongo, Irene Pancaras Uwoya amesema anafunga mwaka na filamu ya kihostoria.
Amini usiamini Uwoya anakuwa mtayarishaji mkubwa wa filamu aliyetengeneza filamu hiyo m kwa gharama kubwa na kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Afrika Kusini na uturuki inayokwenda kwa jina la Kisoda.
“Najaribu kutoka kimataifa kwa kutengeneza bonge la filamu na yenye wasanii wa kimataifa, naamini itanitoa na kuitoa Tanzania kimasomaso, kwani sikuangalia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Nov
Jaguar kutua TZ kwajili ya Uwoya, Irene adai anakuja kufanya mipango ya ndoa yao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoCeyFt2W0v3ghHc1PsRc8gkUxv9ftCOkHOtTUZ041h45qujF-PSSi8OweXr63dsjVphmMrMXfT70omJFr8G2I8/afande.jpg?width=650)
HII NI FUNGA MWAKA!
10 years ago
VijimamboFUNGA MWAKA YA JUMUIYA DMV YAFANA
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Funga mwaka ya Jumuiya ya DMV yafana
![IMG_0978 - Copy - Copy](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0978-Copy-Copy.jpg)
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Uwoya: Nimeshindwa Kuwa Rubani Sababu ya Filamu
Staa mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema kuwa filamu zimeharibu mipango yake ya miaka mingi ya kutaka kuwa mwongozaji wa ndege yaani Rubani.
Irene alisema hayo weekend hii kupitia kituo cha Radio cha East Africa Radio na kudai kuwa miaka yote aliyokuwa akisoma lengo lake kubwa lilikuwa ni kuja kuwa muongozaji wa ndege Rubani kwani ndiyo kazi aliyokuwa akiipenda na alianza kusoma masomo ambayo aliamini moja kwa moja yangeweza kumfanya kufikia ndoto hizo.
Amesema ndoto yake hiyo...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Irene Uwoya Njia Panda Kuachia Filamu Yake!
Muigizaji wa filamu, Irene Uwoya amedai kuwa yupo njia panda kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’ kutokana na gharama iliyotumika kuiandaa.
Irene amedai kuwa akipata mnunuzi atakayefika bei ya filamu hiyo ataizua na asipopata atakaa nayo hadi soko litakapokaa vyema.
“Bado sijaamua nini cha kufanya,” amesema. “Gharama zangu nilizozitumia ni kubwa sana. Hili kuhusu bei imenitatiza lakini sasa tutaangalia kwa upande wangu akijitokeza mtu wa kuinunua nitamuuzia. Lakini ikishindikana basi...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
9 years ago
Michuzi26 Dec
Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live.....
![IMG_7348](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7348.jpg)
![IMG_7989](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7989.jpg)
![IMG_7359](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/IMG_7359.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI