Picha: Alikiba azikonga nyoyo za mashabiki wa Kenya kwenye Koroga Festival
Fresh kutoka kutumbuiza mbele ya mastaa wa Hollywood jijini Los Angeles nchini Marekani kwenye hafla ya Wild Aid, Alikiba weekend iliyoisha alikuwa jijini Nairobi, Kenya kutumbuiza kwenye tamasha la Koroga.
Kiba aliyekuwa na bendi yake alidondosha show kali iliyosifiwa na maelfu ya wapenzi wa muziki huku akiwapa mashabiki wa kike wakipendacho zaidi kwa kuwaonesha kifua chake cha gym.
Wakati akitumbuiza wimbo wake Mwana, Kiba aliichana vest yake nyeusi na kuzionesha abs zake mbele ya umati...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMZEE YUSUF AZIKONGA NYOYO ZA MASHABIKI SIKUKUU YA EID MOSI, DAR LIVE
10 years ago
Bongo524 Jun
Alikiba azunguka kwenye daladala Dar kukutana na mashabiki wake (Picha)
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Skylight Band yakonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival
Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba.
Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama “Mashauzi” mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo pichani).
Asali ya warembo Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0020.jpg)
SKYLIGHT BAND YAKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE NDANI YA NYAMA CHOMA FESTIVAL
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu
9 years ago
Bongo501 Jan
Picha: Alikiba avuta umati wa zaidi ya watu elfu 10 Machakos, Kenya
![MAIN SHOW 31ST-2901 (800x533)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/MAIN-SHOW-31ST-2901-800x533-300x194.jpg)
Alikiba ana mashabiki lukuki nchini Kenya.
Na ndio maana weekend hii, muimbaji huyo wa Mwana aliukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuvuta nyomi huko Machakos.
“Show imepata mahudhurio makubwa ya wapatao watu zaidi ya 10,000,” msemaji wake ameiambia Bongo5.
“Ilihudhuriwa na viongozi wa serikali ya county ya Machakos akiwepo Gavana na familia yake. Aliperform kuanzia 00:00 mpaka 03:00.”
Jionee picha zaidi.
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015…
December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam wakazi wa 88.5 walishuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye ujio wake mzito wa 2015. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika show hiyo zitazame hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Picha za Alikiba kwenye stage ufukweni alivyouaga mwaka 2015… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz)
Wiki moja iliyopita December 26 2015 ilikuwa siku ya kumshuhudia King Kiba kwenye stage Escape 1 Dar es Salaam alipoangusha mzigo mzima wa show ya funga mwaka !! Kazi haikuwa ndogo… Alikiba alishambulia kwa uzito wa juu stage ikitawaliwa kwa live show yenye support ya bendi iliyokamilika pamoja na dancers kadhaa. Kazi ya funga mwaka […]
The post Alikiba alivyochekecha kwenye stage Machakos Kenya akiagana na mwaka 2015..(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.