Video 25 za Bongo Flava zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2015
Kukua kwa teknolojia kumeufanya muziki usambae kwa haraka zaidi katika miaka ya hivi karibuni. Kwa sasa watu wengi huzitazama video za muziki kwenye simu zao zaidi kuliko hata kwenye TV zao.
Infact huanza kuziona video mpya kwenye smartphones zao dakika chache tu baada ya video kuwekwa Youtube.
Mwaka huu zimetoka video nyingi nzuri za muziki lakini si zote zilizopata views nyingi. Tumeangalia video 25 zilizotazamwa zaidi kwa mwaka 2015.
Video hizi ni zile zilizotoka kuanzia January hadi...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CkttUM8ntKA/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RFmQwY8ItGE/VgreuFgQOOI/AAAAAAAAJu4/DhrQXBiz-DQ/s72-c/Francia%2BDTR.jpg)
Mahojiano Na FRANCIA DTR kwenye kipindi cha Bongo Flava
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFmQwY8ItGE/VgreuFgQOOI/AAAAAAAAJu4/DhrQXBiz-DQ/s640/Francia%2BDTR.jpg)
Katika kipindi cha Sept 26, yalifanyika mahojiano na FRANCIA DTR. Mtanzania anayeishi nchini Uingereza.
Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki
Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti Abdulrahman
Kipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ftJWquAXlRY/VOeHFzvB-UI/AAAAAAAAQEk/-oEZglK1-ms/s72-c/B2.jpg)
WASANII WA BONGO FLAVA WAMKUMBUKA MEZ B KWENYE BONANZA LA PSPF
![](http://2.bp.blogspot.com/-ftJWquAXlRY/VOeHFzvB-UI/AAAAAAAAQEk/-oEZglK1-ms/s1600/B2.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80411000/jpg/_80411140_80411133.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s72-c/14.jpg)
WASANII BONGO FLAVA WAMFARIJI AFANDE SELE KWENYE AROBAINI YA MAMA TUNDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm-j0Y4avNo/VB8BWYSLk_I/AAAAAAAAL4Q/MbvIJvDWGLg/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xuTYHFroXMk/VB8BY3URcaI/AAAAAAAAL4Y/mWmXz9Givl8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVdoxTVqKMU/VB8BaM6vU8I/AAAAAAAAL4g/LMXEHU-wlS0/s1600/4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Navy Kenzo washika #4 katika Video 50 zilizobamba zaidi MTV Base mwaka 2015, wampita Diamond Platnumz
Kundi la Mziki la Navy Kenzo Linaloundwa na Aika na Nahreel wametutoa kimasomaso Watanzania Baada ya Video yao ya Wimbo wa Game Walioshirikiana na Vanessa Mdee Kushika Namba Nne katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015.
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s72-c/Navy-Kenzo.jpg)
Kundi la Muziki la Navy Kenzo Lashika Namba Nne Katika Video 50 Zilizobamba Zaidi MTV Base Mwaka 2015, Wampita Diamond Platnumz
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s640/Navy-Kenzo.jpg)
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...