Kundi la Muziki la Navy Kenzo Lashika Namba Nne Katika Video 50 Zilizobamba Zaidi MTV Base Mwaka 2015, Wampita Diamond Platnumz
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s72-c/Navy-Kenzo.jpg)
Kundi la Mziki la Navy Kenzo Linaloundwa na Aika na Nahreel wametutoa kimasomaso Watanzania Baada ya Video yao ya Wimbo wa Game Walioshirikiana na Vanessa Mdee Kushika Namba Nne katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015..
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Navy Kenzo washika #4 katika Video 50 zilizobamba zaidi MTV Base mwaka 2015, wampita Diamond Platnumz
Kundi la Mziki la Navy Kenzo Linaloundwa na Aika na Nahreel wametutoa kimasomaso Watanzania Baada ya Video yao ya Wimbo wa Game Walioshirikiana na Vanessa Mdee Kushika Namba Nne katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015.
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s72-c/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
Navy Kenzo katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015..
![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s400/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
9 years ago
Bongo530 Sep
‘Game’ ya Navy Kenzo yakamata namba 1 kwenye ‘Official African Chart ‘ ya MTV Base
9 years ago
MillardAyo16 Dec
GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base
Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo (Aika & Nahreel) wanazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wao Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee kuendelea kushika nafasi ya kwanza kwenye chati za MTV Base. Huku wakizishinda video 7 zilizoingia katika chati hiyo ya MTV Base. 7.Tecno – Duro 6.Joh Makini – Don’t Bother ft AKA 5.Cassper […]
The post GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base appeared first on...
9 years ago
Bongo512 Nov
Video: Promo ya kipindi cha ‘A Day In The Life’ cha MTV Base kilichokuwa na Diamond Platnumz
![1889237_900749910001587_1263689504_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1889237_900749910001587_1263689504_n-300x194.jpg)
Alipokuwa Milan, Italia, Diamond Platnumz hakuondoka na tuzo ya World Wide Act: Africa/India kwenye MTV EMA pekee, alizunguka pia na VJ wa MTV Base, Stephanie Coker kufanya shopping kwenye mitaa ya jiji hilo kwaajili ya kipindi cha A Day In The Life.
Kwenye kipindi hicho kilichoruka jana jioni, Diamond na Stephanie wanaonekana wakizunguka kwenye maeneo mbalimbali ya mji huo na kupiga story.
Tazama promo ya kipindi hicho hapo juu.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...
10 years ago
Bongo501 Oct
Diamond Platnumz ni msanii wa mwezi October, (#AoTM) wa MTV Base
9 years ago
Bongo511 Nov
Kundi la Navy Kenzo lachaguliwa kuwania tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria
Kundi la Navy Kenzo limechaguliwa kuwania kipengele cha Kundi Bora La Muziki katika tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria.
Makundi mengine ya Nigeria ambao yanawania kipengele kimoja na Navy Kenzo ni Dupi 2, Connect Music Group (Cmg), Ace Republic, Dp-Kings na Betrose.
Kura zimeanza kupigwa November 8, 2015 na zitafungwa December 31, 2015. Washindi wa tuzo hizo watatangazwa January 2, 2016 na sherehe ya utolewaji wa tuzo itafanyika January 26, 2016 jijini Lagos, Nigeria.
Navy...
11 years ago
CloudsFM09 Jun
KAULI DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUTOPATA TUZO YA MAMA INAYOTOLEWA NA MTV BASE
Juzi Jumamosi ndiyo ilikua kilele na siku ya kutoa tuzo kwa washidi katika tuzo za MAMA zinazotolewa na MTV BASE , zoezi hili lilifanyika huko Africa ya kusini, pia mtanzania mwenzetu alipata fulsa ya kushiriki Tuzo hizo, Diamond platnumz kwa bahati mbaya ameshindikana kunyakua Tuzo hiyo.
Ni hatua tua nzuri kwa muziki wa tanzania japo hajachukua lakani tayari ameonekana na kazi zake zimeonekana tumbe mungu wakati mwingine ije kwetu na nasi tutoe sapoti za kutosha kwa wasanii wetu ili kuipa...