Mahojiano Na FRANCIA DTR kwenye kipindi cha Bongo Flava
![](http://2.bp.blogspot.com/-RFmQwY8ItGE/VgreuFgQOOI/AAAAAAAAJu4/DhrQXBiz-DQ/s72-c/Francia%2BDTR.jpg)
Katika kipindi cha Sept 26, yalifanyika mahojiano na FRANCIA DTR. Mtanzania anayeishi nchini Uingereza.
Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki
Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti Abdulrahman
Kipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtraKm7TaRNFYHnVKAY2N0SoyvpYYtlMNSHwTlobMSJxHJoP02nXyWgF6SgG3aGVU8lrqUVyYcqk-qaj9rOHXgZ/vlcsnap87996.png)
MAHOJIANO YA WEMA SEPETU KWENYE KIPINDI CHA TAKE ONE
10 years ago
GPL22 Jun
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Liberata Mulamula kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Balozi Liberata Mulamula akiendelea kujibu maswali ya watangazaji mahiri Mubelwa Bandio (kulia) na Rose Chitalah (hayupo pichani ) na wasikilizaji waliokua na shahuku ya kumuuliza maswali.
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
![balozi Amina](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/balozi-Amina.jpg)
Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ftJWquAXlRY/VOeHFzvB-UI/AAAAAAAAQEk/-oEZglK1-ms/s72-c/B2.jpg)
WASANII WA BONGO FLAVA WAMKUMBUKA MEZ B KWENYE BONANZA LA PSPF
![](http://2.bp.blogspot.com/-ftJWquAXlRY/VOeHFzvB-UI/AAAAAAAAQEk/-oEZglK1-ms/s1600/B2.jpg)
9 years ago
Bongo526 Dec
Video 25 za Bongo Flava zilizotazamwa zaidi kwenye Youtube mwaka 2015
![youtube-logo-name-1920](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/youtube-logo-name-1920-300x194.jpg)
Kukua kwa teknolojia kumeufanya muziki usambae kwa haraka zaidi katika miaka ya hivi karibuni. Kwa sasa watu wengi huzitazama video za muziki kwenye simu zao zaidi kuliko hata kwenye TV zao.
Infact huanza kuziona video mpya kwenye smartphones zao dakika chache tu baada ya video kuwekwa Youtube.
Mwaka huu zimetoka video nyingi nzuri za muziki lakini si zote zilizopata views nyingi. Tumeangalia video 25 zilizotazamwa zaidi kwa mwaka 2015.
Video hizi ni zile zilizotoka kuanzia January hadi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s72-c/14.jpg)
WASANII BONGO FLAVA WAMFARIJI AFANDE SELE KWENYE AROBAINI YA MAMA TUNDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm-j0Y4avNo/VB8BWYSLk_I/AAAAAAAAL4Q/MbvIJvDWGLg/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xuTYHFroXMk/VB8BY3URcaI/AAAAAAAAL4Y/mWmXz9Givl8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVdoxTVqKMU/VB8BaM6vU8I/AAAAAAAAL4g/LMXEHU-wlS0/s1600/4.jpg)