Mahojiano na Balozi Liberata Mulamula kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Balozi Liberata Mulamula akiwasili nje ya jengo lenye studio ya Kilimanjaro tayari kuongea LIVE katika kipindi cha Jukwaa langu kinachorushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku saa za Mashariki za Marekanui. anayemfungulia mlango ni Abdul Malik
Balozi Liberata Mulamula akiendelea kujibu maswali ya watangazaji mahiri Mubelwa Bandio (kulia) na Rose Chitalah (hayupo pichani ) na wasikilizaji waliokua na shahuku ya kumuuliza maswali. Balozi Liberata Mulamula...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
![balozi Amina](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/balozi-Amina.jpg)
Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
9 years ago
MichuziMahojiano na Liberatus Mwang'ombe katika kipindi cha JUKWAA LANGU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7pCN9hzXDa0/Vmajmtpc9xI/AAAAAAAAKPA/5zHtrqvp7lk/s72-c/Paul-Makonda.jpg)
Mahojiano na DC Paul Makonda katika kipindi cha JUKWAA LANGU Dec 7 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-7pCN9hzXDa0/Vmajmtpc9xI/AAAAAAAAKPA/5zHtrqvp7lk/s640/Paul-Makonda.jpg)
10 years ago
VijimamboMazungumzo na mtangazaji Rose Chitallah kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na mtangazaji Rose Chitallah
Karibu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FpJsBVEjbt8/VbXvUHOD9cI/AAAAAAAAJA4/tNjLklHluxU/s72-c/Balozi%2BAmina%2BJukwaa%2BAD.jpg)
kipindi cha Jukwaa Langu
![](http://2.bp.blogspot.com/-FpJsBVEjbt8/VbXvUHOD9cI/AAAAAAAAJA4/tNjLklHluxU/s640/Balozi%2BAmina%2BJukwaa%2BAD.jpg)
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Audio ya Kipindi cha Jukwaa Langu
![](http://1.bp.blogspot.com/-1z8PFskZA7Q/Vi7fy2mRubI/AAAAAAAAJ5M/AF3-IvNc8lg/s640/0%252C%252C18765926_303%252C00.jpg)
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa Oktoba 25, 2015.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU Oct 5 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi cha wiki hii, mbali na habari mbalimbali zilizotawala vyombo vya habari, pia wasikilizaji walipata nafasi ya kutoa maoni kulingana na mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina...