Mahojiano na Liberatus Mwang'ombe katika kipindi cha JUKWAA LANGU
Liberatus Mwang'ombe katika moja ya mikutano yake jimboni MbaraliKatika kipindi cha JUKWAA LANGU wiki hii tulipata fursa kuongea na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Mbarali kupitia CHADEMA Liberatus Mwang'ombe ambaye ameeleza mengi kuhusu uchaguzi ulivyokuwa, aliyojifunza, analotaka kufanya kuhusu matokeo na hata kwa wana-diaspora wengine wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali Tanzania
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania