Audio ya Kipindi cha Jukwaa Langu
Photo Credits: dw.com/sw
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa Oktoba 25, 2015.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UP-eiEAHvMk/VkKhwkQ62qI/AAAAAAAAKJk/luaT9Sg0zAM/s72-c/SnapShot%25285%2529.jpg)
[AUDIO]: Kipindi cha Jukwaa Langu Nov 9 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-UP-eiEAHvMk/VkKhwkQ62qI/AAAAAAAAKJk/luaT9Sg0zAM/s640/SnapShot%25285%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yUye9KjsiBs/Vfi8bWkYVKI/AAAAAAAAJf4/kF7ppdy6Lj8/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
[AUDIO]: Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 14 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-yUye9KjsiBs/Vfi8bWkYVKI/AAAAAAAAJf4/kF7ppdy6Lj8/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 14, 2015
Kutoka Tanzania tuliungana na Jonathan Samiya na Nyakia, ambaye ni mmoja wa wakuu wa Itifaki wa kampeni za Dr Magufuli
Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, Clare Ng'owo, Ali Badawy na Shamis Abdulla
Kwenye line tulikuwa na Jeff Msangi, Dr Patrick Nhigula na Arthur
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
![balozi Amina](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/balozi-Amina.jpg)
Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FpJsBVEjbt8/VbXvUHOD9cI/AAAAAAAAJA4/tNjLklHluxU/s72-c/Balozi%2BAmina%2BJukwaa%2BAD.jpg)
kipindi cha Jukwaa Langu
![](http://2.bp.blogspot.com/-FpJsBVEjbt8/VbXvUHOD9cI/AAAAAAAAJA4/tNjLklHluxU/s640/Balozi%2BAmina%2BJukwaa%2BAD.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU na Kwanza Production
![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU, Julai 13, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali akiwemo Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Ndg. Nape Nnauye kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XNsHuU7_lgo/VYiybDRKnRI/AAAAAAAAI1I/I5eqwFSd7Zo/s72-c/Cramton_stage.jpg)
JUKWAA LANGU...Kipindi kipya cha radio
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNsHuU7_lgo/VYiybDRKnRI/AAAAAAAAI1I/I5eqwFSd7Zo/s640/Cramton_stage.jpg)
Hiki ni kipindi cha kwanza kilichosikika Juni 22, 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Agosti 17 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mjadala wetu na wageni Jeff Msangi toka Toronto Canada na Darmatus Nambai aliyehudhuria studio kuhusu DEMOKRASIA na MABADILIKO kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina...