JUKWAA LANGU...Kipindi kipya cha radio

Photo Credits: RentalStages.comKipindi hiki ambacho kitakuwa kikikujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hiki ni kipindi cha kwanza kilichosikika Juni 22, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
JUKWAA LANGU...Kipindi cha radio June 29, 2015

Hiki ni kipindi cha kwanza kilichosikika Juni 29, 2015
Hii ni sehemu ya kwanza (saa la kwanza) Hii ni sehemu ya pili (saa la pili)
10 years ago
Michuzi
kipindi cha Jukwaa Langu

10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Audio ya Kipindi cha Jukwaa Langu

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa Oktoba 25, 2015.
10 years ago
Michuzi
Kipindi cha JUKWAA LANGU na Kwanza Production

10 years ago
Vijimambo
Kipindi cha Jukwaa Langu Agosti 17 2015

Katika kipindi hiki utasikia mjadala wetu na wageni Jeff Msangi toka Toronto Canada na Darmatus Nambai aliyehudhuria studio kuhusu DEMOKRASIA na MABADILIKO kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
10 years ago
Michuzi
Kipindi cha Jukwaa Langu Okt 26 2015

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa jana Oktoba 25, 2015
10 years ago
Vijimambo
Kipindi cha JUKWAA LANGU Oct 5 2015

Katika kipindi cha wiki hii, mbali na habari mbalimbali zilizotawala vyombo vya habari, pia wasikilizaji walipata nafasi ya kutoa maoni kulingana na mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania
KARIBU
10 years ago
GPL
KIPINDI CHA JUKWAA LANGU OCT 19 2015
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Ni kipindi cha mwisho kabla ya uchaguzi, na washiriki wengi walishiriki kutoa mchango wao kuhusu mchakato ulivyokuwa, na neno ama wosia wao kwa waTanzania wote KARIBU…
10 years ago
Vijimambo
Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015

Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania