Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALIYOTOKEA GERMANY YATOKEA TENA LONDON

Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri.Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea majumbani mwao na hasira walizozimeza vifuani.saeedderby: I was there brov it was maad trust me, even...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yawika tena onyesho la mavazi london

Mwaka jana mwezi kama huu wa Februari, ilikuwa mara ya kwanza Tanzania kuonyesha mavazi yake katika tamasha maarufu la kimataifa la mavazi London

 

11 years ago

Michuzi

1st African Tourism Exhibition in Germany „Soul & Spirit of AFRICA“ 17th - 20th July (4days) Tübingen, Germany



Ladies and Gentlemen,Exhibitors,
It's an honour for me to inform you about the 1st African Tourism tradefair in Germany "Soul and Spirit of Africa " with focused on AFRICA ONLY! This tradefair is  initiated and organized by AfrikAktiv org. in cooperation with chamber of commerce and Industry , International African Festival Tübingen and supported by  African Ambassadors in Germany, Lord major and city of Tübingen / Reutlingen 1st African Tourism Exhibition tradefair  "Soul and Spirit of...

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania

>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.

 

9 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street

It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!”

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli

Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu  anaitwa Fab Moses.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

9 years ago

Habarileo

Nape akumbushia yaliyotokea NEC

KATIBU wa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, ameanika sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomteua aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kuwa mgombea wake urais katika uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni pamoja na kuwa na historia ya kutumia vibaya madaraka yake katika kila ofisi anayopewa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinondoni iepuke yaliyotokea Temeke ugawaji wa viwanja

JUNI 2012 Manispaa ya Temeke iliwatangazia wananchi mpango wa kuuza viwanja 1,800 eneo la Gezaulole, Dar es Salaam kwa ajili ya kujenga maeneo yaliyo rasmi na kuepuka ujenzi holela. Matamanio...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Round Up (Yaliyotokea kwenye burudani Bongo — August 28)

Awamu nyingine ya Round Up iko hapa. Kuna story ya Diva The Bawse na uamuzi wake wa kumfungulia mashtaka Diamond kwa kumdhalilisha, story ya Zari kurejesha umbo lake kama zamani baada ya kujifungua na pia Masongange ana mpya gani leo? Tazama hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani