CHENI AIKUMBUKA KAOLE, KUIRUDISHA!
![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFtDpzTnKUhGJz97zphnSfCvWWAjynj--4kEOt2Cik71oO3TMAJsW4Jfoc2geeRn9FcgG5LlHrs*Qa5tZuaJZu9/CHENI.jpg?width=650)
Stori: Shani Ramadhani MWENYEKITI Msaidizi wa Bongo Movie Unity, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ amesema amekumbuka na kutamani kurudisha Kundi la Sanaa ya Maigizo la Kaole ‘Kaole Sanaa Group’ liwe na nguvu kama zamani. Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’. Dk. Cheni alisema japo kundi hilo limeonekana kupoteza mvuto wake wa awali, lakini anaamini wasanii wengi wanaofanya vizuri kwenye tasnia ya filamu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb-*BGxkfum1AmEskT31kKxcKfYeRwtMmQoO7woNQSqy6CvZ7B9E0Au2MF1gg9As1RVVhtu9*CAvKTYxMYhWntvo/ZARI.jpg?width=650)
BEBI MPYA WA DIAMOND AIKUMBUKA BONGO? AU?
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Duma Kuirudisha Bongo Muvi
Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama ‘Duma’ amesema lengo la yeye kumuita nchini msanii kutoka nchi ya Australia John K ni kutaka kuirudisha hadhi ya filamu ambayo imepotea kwa kipindi kirefu katika macho ya watu.
Duma amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV muda mchache baada ya kumpokea mgeni wake huyo kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.
“Watanzania wanapaswa watupe ushirikiano sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgZhlZeIvMNhcq25RyjoO0NqNmI7v7oJpWrj4zO9KEcUTk*RjZ*ur2oSoO2kz*bNsxqWUoMJEzOGAX3e0hyrs0c/BARUANZITO.jpg)
RICHIE SASA UMEANZA KUIRUDISHA BONGO MOVIE KWENYE MSTARI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ1Um6MUcpbOKCcd3st7EVf8x2kG1ORBOUdQ5OhL2a4*IMv1oVxj1EPtwDthnlwGMcjMJxXBo1hS43MuAE1FqVnX/sandra.jpg)
SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KhDjiu-wQ6bUSBICJSsHvqvPFiOpFDjbY0tnDjt3yEjGaXa47PejWljyaOIKQdMPiW65YZ3yGEXZRf0CF*RYLv/msanii.jpg?width=650)
MSANII KAOLE AVUNJIKA MGONGO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJHwKSwkJNddbQTc453maLHIBFXA9B6cc1T*tpQ0UGm9Mbuz5Me5b1LoXFz44wbU4GW0dvU-P-ObZhEvDqmPmJc/kaole.jpg)
NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Rushwa ya ngono iliniondoa Kaole-Batuli
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono, Batuli amefunguka hayo leo alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s72-c/IMG20150207WA0022.jpg)
MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s1600/IMG20150207WA0022.jpg)
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Jumuiya CCM kurejesha shule yake ya Kaole
JUMUIYA ya Wazazi kupitia CCM wilayani hapa imeweka mikakati mbalimbali ya kuirejesha shule yake ya ufundi ya Kaole, ianze kuchukua wanafunzi wakiwemo wale wa kutoka wilaya hiyo.