NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU
![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJHwKSwkJNddbQTc453maLHIBFXA9B6cc1T*tpQ0UGm9Mbuz5Me5b1LoXFz44wbU4GW0dvU-P-ObZhEvDqmPmJc/kaole.jpg)
Na Gladness Mallya WASANII wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ na Khely Ahmed ‘Niko’ ndoa yao imejibu ambapo hivi karibuni wamepata mtoto. Akizungumza na gazeti hili, Kalunde alisema ana furaha ya ajabu kufuatia kumpata mtoto wa kike na anamshukuru Mungu kwani alijifungua salama bila matatizo. Msanii wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ akiwa na mwanae...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Dec
Mr Blue anaamini ndoa kwa wasanii huvuta ‘neema’
![blue (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/blue-1-300x194.jpg)
Mr Blue amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaoa au kuolewa kuwa ndoa ni neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.
Blue ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii wengi walio kwenye ndoa wanafanya vizuri.
“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndio maana wengi waliooa wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4nFG*hhuGrzWuw5wQZsNCmv7BBRF8c7PXH9R9D62WH-1uBRPpYwrBtaE8Yuw1UEpWuklwTjpKsaqBqtKwDU0p5/150000080.jpg)
HIVI WASANII MTAKUWA NA UCHUMBAâ€, ‬NDOA ZA MAIGIZO MPAKA LINIâ€?‬
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Somalia yajibu uondoshaji wa huduma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ1Um6MUcpbOKCcd3st7EVf8x2kG1ORBOUdQ5OhL2a4*IMv1oVxj1EPtwDthnlwGMcjMJxXBo1hS43MuAE1FqVnX/sandra.jpg)
SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KhDjiu-wQ6bUSBICJSsHvqvPFiOpFDjbY0tnDjt3yEjGaXa47PejWljyaOIKQdMPiW65YZ3yGEXZRf0CF*RYLv/msanii.jpg?width=650)
MSANII KAOLE AVUNJIKA MGONGO
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Wanawake maaskofu? Tanzania yajibu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3e3nCI2yr4VZ4Ez1*-q0RQvlNQjeVfYxTw0hh6Q1q5VqaREW2rZ7tzljvy0FlY9KlPD0jfgjhjwg7zMVpi47Idl/ww.gif?width=650)
Yanga yajibu mapigo ya Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFtDpzTnKUhGJz97zphnSfCvWWAjynj--4kEOt2Cik71oO3TMAJsW4Jfoc2geeRn9FcgG5LlHrs*Qa5tZuaJZu9/CHENI.jpg?width=650)
CHENI AIKUMBUKA KAOLE, KUIRUDISHA!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s72-c/IMG20150207WA0022.jpg)
MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s1600/IMG20150207WA0022.jpg)
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...